Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 35,012
- 70,201
Mi sitakugeuka. Stick na mimiSawasawa....ajiandae kunyanyaswa pia.Ila nao wanaume wasionazo wakipata hutugeuka sana.Aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi sitakugeuka. Stick na mimiSawasawa....ajiandae kunyanyaswa pia.Ila nao wanaume wasionazo wakipata hutugeuka sana.Aisee
Hata niliyeacha nae alisema ivoivo mkuuMi sitakugeuka. Stick na mimi
Akaolewe na benki pumbav zakeMrembo aliyeanza kujulikana kwenye video ya KWETU ya Rayvanny kama video vixen (LYYN)katika mahojiano na vyombo vya habari amefunguka kuhusiana na maisha yake pia na kusema aina ya mwanaume anayeweza kuwa naye.Katika mahojiano amefunguka haya:•
"Mimi sitaki mwanaume asiye na pesa nataka mwanaume hata nikimuomba Million 10 ananitumia hapo hapo bila kuulizana maswali ya aina yoyote ile kwa kweli mwanaume asiye na hela hapa hatuwezani Nyumba niliyopanga zamani nilikua nalipa kodi shs Milioni 3 kwa mwezi nikahama hapo na nikahamia nyumba nyingine napo nalipa zaidi ya kodi ya zamani sasa sijajua ile nyumba ya zamani kama Harmonize analipa kodi ile ile kwa kweli sijui"-Ameongea Lyyn.
.
Beauty with full mucus in brain.🤷🏿♂️🤷🏿♂️🤷🏿♂️
Hebu picha yake tumuoneMrembo aliyeanza kujulikana kwenye video ya KWETU ya Rayvanny kama video vixen (LYYN)katika mahojiano na vyombo vya habari amefunguka kuhusiana na maisha yake pia na kusema aina ya mwanaume anayeweza kuwa naye.Katika mahojiano amefunguka haya:•
"Mimi sitaki mwanaume asiye na pesa nataka mwanaume hata nikimuomba Million 10 ananitumia hapo hapo bila kuulizana maswali ya aina yoyote ile kwa kweli mwanaume asiye na hela hapa hatuwezani Nyumba niliyopanga zamani nilikua nalipa kodi shs Milioni 3 kwa mwezi nikahama hapo na nikahamia nyumba nyingine napo nalipa zaidi ya kodi ya zamani sasa sijajua ile nyumba ya zamani kama Harmonize analipa kodi ile ile kwa kweli sijui"-Ameongea Lyyn.
.
Beauty with full mucus in brain.[emoji2379][emoji2379][emoji2379]
Mimi siyo yeyeHata niliyeacha nae alisema ivoivo mkuu
Wewe wasemaMimi siyo yeye
Let's find out. Au?Wewe wasema
Ndugu yangu....haya mambo hayanaga mjuzLet's find out. Au?
SijakataaNdugu yangu....haya mambo hayanaga mjuz
Ndo ukae kwa kutulia sasa tena mara mia usioe kabisaSijakataa
Sa nitatuliaje na nishataka kuyavulia nguo maji?Ndo ukae kwa kutulia sasa tena mara mia usioe kabisa
Kama hushauriki bas endelea kushupaza shingo mkuuSa nitatuliaje na nishataka kuyavulia nguo maji?