M-BET: Mdhamini pekee wa timu katika NBC PL mwenye furaha kuliko wote

M-BET: Mdhamini pekee wa timu katika NBC PL mwenye furaha kuliko wote

We kweli Mbumbumbu, Caf takwimu za Simba viwanjani wanazitoa wapi wakati FA ya Tanzania ndio inayo itaja Yanga kama timu inayoingiza mashabiki wengi viwanjani uku Msemaji wa Simba alilalamika mashabiki kiduchu wanao kwenda uwanjani na kusababisha timu kupata milioni 14 Kwa gemu Moja.
Nyani katika ubora wako. Ukishafika hatua za makundi kuendelea michuano ya CAF, FA yako ya Tanzania haina inalolisimia kila kitu kinakuwa under CAF wenyewe. CAF wanajua strength ya Simba kwa Mkapa ni pamoja na support kubwa ya mashabiki,
Ukiwauliza CAF tanzania ni timu gani ina sapoti kubwa ya mashabiki hawawezi kuitaja utopolo kwani kwa miaka ya hivi karibuni mashindano makubwa ya CAF mnyama ndio amewakulisha vizuri east and central Africa. utopolo haiwezi kuingia kwenye hizo record kwani hamfanyi vzr kimataifa na hivo mtabaki kwenye record za tff tu. Usichoelewa nini hapo mla mohogo?
 
GSM ,AZAM, ETC NDIO WADHAMINI WENYE FURAHA KULIKO WOTE KWANI YANGA NDIYE
1. BINGWA WA LIGI KUU
2.BINGWA FA
3. BINGWA NGAO YA JAMII-
4. UNBEATEN MPAKA MUDA HUU YANGA HAWAJUI KUFUNGWA NININI.
5. MASHABIKI WENGI WASOMI,WENYE PESA,
6.MASHABIKI YANGA WANAONGOZA KUNUNUA BIDHAA ZA WADHAMINI
7.MASHABIKI YANGA WANAONGOZA KUNUNUA TICKETI NA KUJAZA UWANJA KWA BEI KUBWA KULIKO MANYONYO NA
8. YANGA NDIO CLUB YENYE UTAMADUNI ,HESHIMA,NZURI TOFAUTI NA MANYONYO AMBAO WANA TABIA ZA USHOGA, NA BOSI WAO KEMCHO MO ALIKIRI WALIMPAKATA NA KUMVISHA KANGA
 
JamiiForums685660863.gif
 
GSM ,AZAM, ETC NDIO WADHAMINI WENYE FURAHA KULIKO WOTE KWANI YANGA NDIYE
1. BINGWA WA LIGI KUU
2.BINGWA FA
3. BINGWA NGAO YA JAMII-
4. UNBEATEN MPAKA MUDA HUU YANGA HAWAJUI KUFUNGWA NININI.
5. MASHABIKI WENGI WASOMI,WENYE PESA,
6.MASHABIKI YANGA WANAONGOZA KUNUNUA BIDHAA ZA WADHAMINI
7.MASHABIKI YANGA WANAONGOZA KUNUNUA TICKETI NA KUJAZA UWANJA KWA BEI KUBWA KULIKO MANYONYO NA
8. YANGA NDIO CLUB YENYE UTAMADUNI ,HESHIMA,NZURI TOFAUTI NA MANYONYO AMBAO WANA TABIA ZA USHOGA, NA BOSI WAO KEMCHO MO ALIKIRI WALIMPAKATA NA KUMVISHA KANGA
Toa huo mwiko huko nyuma kwanza we mla mihogo
 
Mkuu uko sahihi.. Kwa timu ambazo Simba SC atapangwiwa katika michuano migumu ya CAFCL zitabidi zitafute video za mechi za awali (CAF Preliminary Rounds) ili kuona nguvu ya Simba SC msimu huu. Hapa sasa ndiyo M-BET atazidi kuchanja mbuga.
Ni kweli, japo idadi ya viewers itakuwa ni ndogo tofauti na vile ambavyo ingekuwa wanarushwa na official broadcastiing wa CAF

Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom