Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,580
- 18,193
ben za siku umeadimika sana, vipi kuhusu harakati za uwenyekiti wa bavicha? Heche kaanza maandalizi , au umeishajitoa kwenye kugombea? Au unahofia kufukuzwa? Kuna baadhi ya watu wanapost kuwa maji yako shingoni upande wako? Je ni kweli? Kaza buti utafika
Vuta subira...acha papara mkuu.