M/kiti wa UVCCM Wilaya ya Mwanga na Katibu Msaidizi Mkoa wa Vyuo Vikuu washambuliwa kwa Risasi

M/kiti wa UVCCM Wilaya ya Mwanga na Katibu Msaidizi Mkoa wa Vyuo Vikuu washambuliwa kwa Risasi

we msalewa ni mchumia
tumbo mkubwa huna lolote unatetea damu za watu wasio na hatia ziendelee
kumwagika,chadema ni mara ngapi imemtumia ben sa nane kufnya upuuzi huu
??yaan ww una laana

Sasa kwanini hamumkamati?
 
Kwnini kila tukio mnaegemea kwa viongozi wa chadema?sasa ben wa saa nane kausikaje kama siyo bifu za kijinga
 
Mimi sio mtaalamu wa haya mambo, lakini mashimo kwenye vioo yanaonekana kama yamesababishwa na mawe na wala sio risasi. Kama kuna mtaalamu wa ballistics hapa jukwaani naomba afafanue.
 
Pole sana Kijana maana huyu jamaa nilimfahamu kwa mara ya kwanza nilipokuja wilaya ya mwanga kwenye majukumu ya kikazi na likuwa kijana mchangamfu sana nilipofuatana naye kwenye ziara ya kuwapa pole wahanga wa kimbunga maeneo ya ugweno na alikuwa mtu anayependa maendeleo ya vijana na ana uchu nayo na pia hakuwa na siasa chufu za kushambulia wengine na vyama vyao bali alikuwa akieleza sera za chama chake na kuhakikisha anakuwa karibu na vijana wakati wote.
 
Hili ni gumu kulitenga nisha na watu Wale walio sema nchi haitotawalika.

Hizi ni siasa za wale wale walio sema nchi haito tawalika.
 
Wamepiga wenyewe risasi hicho kisuzuki chao. Drawing public attention. ..
 
Hao wamejipiga risasi wenyewe! Period!
 
kikwete ni mtu mmoja mbaya sana nina uhakika lazima atakwenda the hague haisezekani anaendesha nchi na chama kimafia huyu mzee ni mtu hatari sana
naomba nikupe ushauri utakaokufaa...ACHA KUNYWA GONGO.,mwache Dr na wafu wenzake.
wewe bado ni kijana unategemewa kuleta maendeleo ya Taifa hili, acha mara moja hunywaji holela wa Gongo.
 
Mimi sio mtaalamu wa haya mambo, lakini mashimo kwenye vioo yanaonekana kama yamesababishwa na mawe na wala sio risasi. Kama kuna mtaalamu wa ballistics hapa jukwaani naomba afafanue.

Uhitaji kuwa mtaalamu kujua hilo. Hiyo si risasi.
 
Kwnini kila tukio mnaegemea kwa viongozi wa chadema?sasa ben wa saa nane kausikaje kama siyo bifu za kijinga
Kwani huyu ben wa saa nane ni nani..? mbona anatajwa sana kuhusika..,ndiyo yule Ludo wa Lwakatare au..?
 
hawa vijana walijipiga wenyewe, au kama ni wahalifu wana huruma.
kulenga kioo cha nyuma manake walitaka asiumie mtu,
au kupunguza hasara kwa kuwa kioo cha nyuma elf 50 wakati cha mbele laki tatu.

hawa lazima walijipiga.....

Good observation????!!!!
What about the range/distance????!!!!
 
Good observation????!!!!
What about the range/distance????!!!!

aiseeee!!!....ni kweli ile saizi ya shimo huyu mtu alikuwa karibu fulani hivi. walijipiga hawa. wanatafuta kuaminisha watu kitu ambacho hakipo kwa uwongo fulani hivi.
 
Poleni sana macomred huyo atakuwa Henry Kilewo na timu yake.
Ukweli utajulikana tu.
 
aiseeee!!!....ni kweli ile saizi ya shimo huyu mtu alikuwa karibu fulani hivi. walijipiga hawa. wanatafuta kuaminisha watu kitu ambacho hakipo kwa uwongo fulani hivi.

Type of bullet used,pistol, shot gun, fifle!!!!!?????
As from the effect on target???!!!!
Any damage other than the glass seen???!!!!!
 
Back
Top Bottom