M/kiti wa UVCCM Wilaya ya Mwanga na Katibu Msaidizi Mkoa wa Vyuo Vikuu washambuliwa kwa Risasi

M/kiti wa UVCCM Wilaya ya Mwanga na Katibu Msaidizi Mkoa wa Vyuo Vikuu washambuliwa kwa Risasi

Sasa mnashangaa nini na mwenye nchi ashasema wanaCCM waache unyonge?Kilichotokea ni pale ambapo pambe zote mbili wanaondoa unyonge!

Na wale wanaosema wazisubiri mamlaka husika,kwani hizo nazo sio taasisi za CCM zilizotakiwa kuondoa ungonge?

Tunakoelekea sasa nafikiri VITA inayochochewa na wanasiasa walioshika madaraka inanukia!!
 
Sasa mnashangaa nini na mwenye nchi ashasema wanaCCM waache unyonge?Kilichotokea ni pale ambapo pambe zote mbili wanaondoa unyonge!

Na wale wanaosema wazisubiri mamlaka husika,kwani hizo nazo sio taasisi za CCM zilizotakiwa kuondoa ungonge?

Tunakoelekea sasa nafikiri VITA inayochochewa na wanasiasa walioshika madaraka inanukia!!
Hivi nyie bavicha si niliwashauri kuacha kunylwa Gongo.,acheni mnaharibu akili bure. Kama babu anaona hiyo ndio njia ya kupandisha uchumi mwachie yeye na familia yake wanywe hiyo gongo nyie acheni jamani.
 
Pole zao,ila Kama Daniel Zenda ni yule niliyesoma naye Udom basi nazidi kuamini kuwa CCM imeshakosa wanasiasa na viongozi pia.Kumbe hata kuwatafutia waheshimiwa viburudisho unaweza kupewa cheo?

mkuu hebu funguka zaidi , ni kama kuna kitu unataka kutujulisha vile !
 
Hivi nyie bavicha si niliwashauri kuacha kunylwa Gongo.,acheni mnaharibu akili bure. Kama babu anaona hiyo ndio njia ya kupandisha uchumi mwachie yeye na familia yake wanywe hiyo gongo nyie acheni jamani.

una maana gani, mbona kama vile umedandia usichokijua ?
 
hawa vijana walijipiga wenyewe, au kama ni wahalifu wana huruma.
kulenga kioo cha nyuma manake walitaka asiumie mtu,
au kupunguza hasara kwa kuwa kioo cha nyuma elf 50 wakati cha mbele laki tatu.

hawa lazima walijipiga.....

siwezi kupuuza post yako , maana siasa za ccm ni za kishamba sana !
 
Ccm mumebakiza sera yakujichoma Moto tu mkibahatisha kuhulumiwa nawananchi maana hiyo nanyingine nyingi tumeona mumetekeleza kwenye operation tokomeza

Uchaguzi wa marudio Igunga walichoma banda la kuku la mwenyekiti wao na wakadai ni Nyumba ilichomwa, waacheni waendelee kuweka historia ya kifo chao
 
imekuaje kwenye hiyo Orodha Hayati Chacha Zakayo Wangwe Hayupo ? au kwa kuwa wananchi wa Tarime walishachukua Hatua yakurudisha Jimbo kwa Chama cha Mapinduzi ili kuepuka Vifo visivyo vya Lazima vya Wabunge wao?
Nafikiri labda hauendi na matukio kuhusu Chacha Wangwe nafikiri mtuhumiwa aliisha shitakiwa na hukumu ilitolewa ingawa kiuhalisia Kifi cha Chacha Wangwe kilikuwa na Utata na kinachothibitika ni kuwa alikuwa na Hoja Binafsi juu ya Daud Balali na ilitakiwa aiwasilishe Bungeni baada ya kurudi kutoka safari yake ya DSM lakini mauti yakamkuta na Hoja ikawa imeishia hapo. Fununu ya kilichokuwepo kwenye hoja hiyo ni kuwa yeye Chacha Wange alikuwa na Ushahidi wa kutosha juu ya kufahamu kuwa Daudi Balali yupo hai na sehemu alipo na yeye binafsi aliweza kumuona.

Labda nikuulize tu kwa jinsi CCM walivyo na usongo na CHADEMA na kuhakikisha kinakufa na kusambaratika kama ni kweli mauaji ya Chacha Wangwe yalifanywa na CHADEMA serikali ya CCM ingekaa kimya kiasi hiki?
 
Hivi nyie bavicha si niliwashauri kuacha kunylwa Gongo.,acheni mnaharibu akili bure. Kama babu anaona hiyo ndio njia ya kupandisha uchumi mwachie yeye na familia yake wanywe hiyo gongo nyie acheni jamani.

Umeandika kama vile kuna kitu inasukumwa ndani ya 0713- yako
 
Taarifa iliyotufikia hivi punde inaeleza kuwa Mwenyekiti wa UVCCM Wilaya ya Mwanga Kilimanjaro Ndugu Japhar Mghamba na Katibu Msaidizi wa Mkoa Maalum wa Vyuo Vikuu wilaya ya Dar es salaam Ndugu Daniel Zenda wameshambuliwa kwa Risasi na watu wasiojulikana.

Viongozi hao ambao wapo wilayani Mwanga Mkoa wa Kilimanjaro kwenye operesheni maalum inayojulikana kama operesheni Kokoro ambayo inalenga kuhamasisha vijana wa upinzani na wasio na vyama kujiunga na CCM, kuhamasisha Vijana wa CCM kugombea nafasi mbalimbali katika uchaguzi ujao wa Serikali za mitaa hapo baadae October mwaka huu, na kukagua, kuhamasisha na kuelezea katika matawi na kata juu ya Utekelezaji wa Ilani ya Chama kwa kauli mbiu ya “..CCM Mwanga Ukimya sasa Basi..”

Viongozi hao wa Jumuiya na Chama cha Mapinduzi wamekumbwa na Mkasa huo wa kusikitisha wakiwa wamemaliza sehemu ya kwanza ya Ziara hiyo katika Kata ya Kisangara na wakirejea mwanga mjini, Kwa bahati Njema hakuna aliyepoteza maisha na tayari taarifa zimesharipotiwa kituo cha Polisi Mwanga ambapo taratibu za Uchunguzi zinaendelea.

Matukio ya vurugu na vitisho vimeanza kutawala kwa kasi kubwa katika ulingo wa Siasa za ndani hapa nchini kwetu, ni vyema sasa Serikali ikawa macho katika kuangazia upande wa Siasa kama eneo hatari (Danger Zone) ili kulinda Uhai wa Vijana na wananchi kwa Ujumla.

zenda umaarufu hauji kwa kuiba project za wenzako, je tulifanya kosa kuleta kwa katibu wa vyuo vikuu?? Hayo ni matokeo ya kuiba kazi za watu. Na sina hakika kama ulichokipost ni kweli. Jipange upya.
 
Kwanza siitwi Msalewa.Naitwa Mselewa.Pili, mimi si mwanachama wa chama chochote nchini. Nasimamia ukweli. Kwahiyo,sina haja ya kuchumia tumbo kwakuwa nafanya kazi halali kutokana na uwezo na elimu yangu. Tatu, kama una ushahidi wa kuwa Ben Saanane anahusika na mambo kama haya,peleka kwenye vyombo vya usalama. Nashangaa leo Mkuu kiloriti hukumsifia Lowassa siku nzima!!

Mkuu,Huyo coward amezoea kutaja taja majina ya watu kwa obsession aliyo nayo.Hana ushahidi zaidi ya kuandika tu
 
Hivi nyie bavicha si niliwashauri kuacha kunylwa Gongo.,acheni mnaharibu akili bure. Kama babu anaona hiyo ndio njia ya kupandisha uchumi mwachie yeye na familia yake wanywe hiyo gongo nyie acheni jamani.

Wee nenda kapasuliwe na Mwigulu wako tumechoka na kiherehere chako cha kila siku babu babuuu..huyo babu wako hatumii kama unavyokutumia Mwigulu
 
Hawa wanataka kuchukua cheo cha mtoto wa NANGERA ngoja waone cha mtema kuni .Wanajipitishapitsha kujinadi kwenye uchaguzi ujao ndo yanawakuta sasa ,Wanache na wababe wa siasa za ccm.
 
Mkuu,Huyo coward amezoea kutaja taja majina ya watu kwa obsession aliyo nayo.Hana ushahidi zaidi ya kuandika tu

ben za siku umeadimika sana, vipi kuhusu harakati za uwenyekiti wa bavicha? Heche kaanza maandalizi , au umeishajitoa kwenye kugombea? Au unahofia kufukuzwa? Kuna baadhi ya watu wanapost kuwa maji yako shingoni upande wako? Je ni kweli? Kaza buti utafika
 
Taarifa iliyotufikia hivi punde inaeleza kuwa Mwenyekiti wa UVCCM Wilaya ya Mwanga Kilimanjaro Ndugu Japhar Mghamba na Katibu Msaidizi wa Mkoa Maalum wa Vyuo Vikuu wilaya ya Dar es salaam Ndugu Daniel Zenda wameshambuliwa kwa Risasi na watu wasiojulikana.

Viongozi hao ambao wapo wilayani Mwanga Mkoa wa Kilimanjaro kwenye operesheni maalum inayojulikana kama operesheni Kokoro ambayo inalenga kuhamasisha vijana wa upinzani na wasio na vyama kujiunga na CCM, kuhamasisha Vijana wa CCM kugombea nafasi mbalimbali katika uchaguzi ujao wa Serikali za mitaa hapo baadae October mwaka huu, na kukagua, kuhamasisha na kuelezea katika matawi na kata juu ya Utekelezaji wa Ilani ya Chama kwa kauli mbiu ya “..CCM Mwanga Ukimya sasa Basi..”

Viongozi hao wa Jumuiya na Chama cha Mapinduzi wamekumbwa na Mkasa huo wa kusikitisha wakiwa wamemaliza sehemu ya kwanza ya Ziara hiyo katika Kata ya Kisangara na wakirejea mwanga mjini, Kwa bahati Njema hakuna aliyepoteza maisha na tayari taarifa zimesharipotiwa kituo cha Polisi Mwanga ambapo taratibu za Uchunguzi zinaendelea.

Matukio ya vurugu na vitisho vimeanza kutawala kwa kasi kubwa katika ulingo wa Siasa za ndani hapa nchini kwetu, ni vyema sasa Serikali ikawa macho katika kuangazia upande wa Siasa kama eneo hatari (Danger Zone) ili kulinda Uhai wa Vijana na wananchi kwa Ujumla.

ninavyokufaham hapo umepiga mwenyewe na jiwe . Utawadanganya watoto wa chekechea, hizo ni mbwembwe zako
 
Ccm mnatafuta huruma ya wananchi. Eti wamerushiwa risasi, mwingne iringa ametishiwa kuuwawa. Muache usenge leta hoja ukijua inaktana na watu wenye uelewa. Kama mmerushiwa risasi muulizeni MWIGULU CHEMBA DHAMIRA YAKE NI NIN? Na atakacho wajibu ni kuwa tunawahadaa wanachi ionekane chadema wanaleta vita. UPUMBAVU WA MTU ASIEJUA KUFIKILI.
 
we msalewa ni mchumia tumbo mkubwa huna lolote unatetea damu za watu wasio na hatia ziendelee kumwagika,chadema ni mara ngapi imemtumia ben sa nane kufnya upuuzi huu ??yaan ww una laana

Acha upuuzi wewe jaribu kufikiria kwa kutumia kichwa sio muda wote unashirikisha ma------ tu.
 
Back
Top Bottom