Li ngunda ngali
JF-Expert Member
- Jun 22, 2023
- 707
- 2,572
Malawi.Maza sahivi atakuwa Ugunja, Dom au Dar? maana yeye muda mwingi anakuwa safarini
Angekuwa Air hostess angefit sn kazi anaiwezaMalawi.
Du!Angekuwa Air hostess angefit sn kazi anaiweza
Subirini sindano iwaingie mtajuta kumfahamu Lissu, siwatishi subirini mtakumbuka yule tapeli na mzushi atawasaidia nini. Lissui ameshachukua mabilioni familia yake iko Ulaya nyie mmeng'a macho na ufukara wenu kumsikiliza mzushi mwongo, mbona hamkumwambia awasomee kifungu baada ya kifungu. watanzania mnapenda sana kudanganywa ila wale manyau hawawezi kumzuia Rais kutimiza majukumu yake.Nukuu ya mwathiliwa;
Jamaa ametuma jamaa zake eti kutuhoji kwa nini tunatumika na wanasiasa kuichafua Serikali. Anadai hoja zote si zilitatuliwa na PM sasa ya nini eti tunamdhalilisha Rais!
Tumewataka hao vibaraka waende wamwambie atuandikie kwa maandishi hayo malalamiko yake ama atupigie simu mwenyewe kwa kinywa chake ili tumjibu. Tumechoka kutishwa!
Amesema.
Maza wa kwako yuko wapi sahiviMaza sahivi atakuwa Ugunja, Dom au Dar? maana yeye muda mwingi anakuwa safarini
Yap
Si ndiyo nimeuliza maza angumaza wa kwako yuko wapi sahivi
As long kuna kitu kinaitwa "chama cha ..." Tanzania jua mamluki wa ccm wapoNukuu ya mwathiliwa;
Jamaa ametuma jamaa zake eti kutuhoji kwa nini tunatumika na wanasiasa kuichafua Serikali. Anadai hoja zote si zilitatuliwa na PM sasa ya nini eti tunamdhalilisha Rais!
Tumewataka hao vibaraka waende wamwambie atuandikie kwa maandishi hayo malalamiko yake ama atupigie simu mwenyewe kwa kinywa chake ili tumjibu. Tumechoka kutishwa!
Amesema.
Huyo Mwenye kiti ni chawa tu hana lolote, kwanini kama anaubavu na hoja zote zilikuwa na PM angependa kwenye kikao cha L'issu apambanishe hoja zake na L'issu akione cha mtema kuni!Nukuu ya mwathiliwa;
Jamaa ametuma jamaa zake eti kutuhoji kwa nini tunatumika na wanasiasa kuichafua Serikali. Anadai hoja zote si zilitatuliwa na PM sasa ya nini eti tunamdhalilisha Rais!
Tumewataka hao vibaraka waende wamwambie atuandikie kwa maandishi hayo malalamiko yake ama atupigie simu mwenyewe kwa kinywa chake ili tumjibu. Tumechoka kutishwa!
Amesema.
Safi Lissu tunakusikiliza wewe serikali imeshindwa.Nukuu ya mwathiliwa;
Jamaa ametuma jamaa zake eti kutuhoji kwa nini tunatumika na wanasiasa kuichafua Serikali. Anadai hoja zote si zilitatuliwa na PM sasa ya nini eti tunamdhalilisha Rais!
Tumewataka hao vibaraka waende wamwambie atuandikie kwa maandishi hayo malalamiko yake ama atupigie simu mwenyewe kwa kinywa chake ili tumjibu. Tumechoka kutishwa!
Amesema.
Pia soma
- Tundu Lissu aonekana Kariakoo, atangaza opereshani rejesha Bandari za Tanganyika kutoka kwa Sultan wa Dubai imeanza
subirini sindano iwaingie mtajuta kumfahamu Lissu, siwatishi subirini mtakumbuka yule tapeli na mzushi atawasaidia nini. Lissui ameshachukua mabilioni familia yake iko Ulaya nyie mmeng'a macho na ufukara wenu kumsikiliza mzushi mwongo, mbona hamkumwambia awasomee kifungu baada ya kifungu. watanzania mnapenda sana kudanganywa ila wale manyau hawawezi kumzuia Rais kutimiza majukumu yake.