Kama ipo ipo
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 1,119
- 1,728
Nimeona vyombo vya habari vya Western wameanza tena kuandika kuwa 🇺🇸 na 🇬🇧 walikurupuka kuiwekea vikwazo 🇷🇼. Sasa hii itssaidia nini naona kama vita ishafika mbali. Yaani wananchi ni kama wanatolewa kafara kwa tamaa ya viongozi ambao wana dhamana ya kuwalinda.