Tetesi: M23 wamepewa kichapo na wamerudishwa nyuma baada na za Vikosi Maalum vya DRC kuingia Goma

Tetesi: M23 wamepewa kichapo na wamerudishwa nyuma baada na za Vikosi Maalum vya DRC kuingia Goma

Stuxnet

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2011
Posts
13,417
Reaction score
23,310
Inaripotiwa kuwa, mpaka majira ya saa 5 usiku, waasi wa M23 wameshindwa kuushika mji wa Goma na wameanza kuzidiwa.

Hii ni baada ya askari wa ranks za captain na Lieutenants kuoongoza vikosi vya jeshi la Kongo baada ya majenerali na wengine wa vyeo vya juu kukimbia.

Screenshot_20250128_095212_X.jpg
 
Ikawe heri kama ni kweli,,, na pia nasikia baba wa majeshi Africa ya mashariki JWTZ nao wametia timu kwenda kupiga tafu hawa ndugu zetu wakongo , wanachojua kukata viuno na kupaka mkorogo ila kulinda nchi yao aaaah
Congo ni nchi yenye mfumo wa jeshi mbovu sana sasa afisa mwenye rank ya major General anaendaje front line kuongoza mapigano. Hao junior officers wanakazi gani mpaka senior officers kama brig general na major general waokaongoze vita ndiyo maana yule Gavana major general kauawa
 
Congo ni nchi yenye mfumo wa jeshi mbovu sana sasa afisa mwenye rank ya major General anaendaje front line kuongoza mapigano. Hao junior officers wanakazi gani mpaka senior officers kama brig general na major general waokaongoze vita ndiyo maana yule Gavana major general kauawa
Vyeo wanagawana kama kondomu kila mwenye nduguye anataka nduguye awe major General
 
Congo ni nchi yenye mfumo wa jeshi mbovu sana sasa afisa mwenye rank ya major General anaendaje front line kuongoza mapigano. Hao junior officers wanakazi gani mpaka senior officers kama brig general na major general waokaongoze vita ndiyo maana yule Gavana major general kauawa
Tanzania tulivyopigana na Uganda viongozi wetu wa juu wa jeshi hawakuwa front?
 
Huko hali ni tete ma platuni kamanda wanakimbia
Congo ni nchi yenye mfumo wa jeshi mbovu sana sasa afisa mwenye rank ya major General anaendaje front line kuongoza mapigano. Hao junior officers wanakazi gani mpaka senior officers kama brig general na major general waokaongoze vita ndiyo maana yule Gavana major general kauawa
Ikawe heri kama ni kweli,,, na pia nasikia baba wa majeshi Africa ya mashariki JWTZ nao wametia timu kwenda kupiga tafu hawa ndugu zetu wakongo , wanachojua kukata viuno na kupaka mkorogo ila kulinda nchi yao aaaah
Siyo kweli kwamba WaCongoman siyo wazalendo kwa nchi yao, la hasha. Kabla ya kuwalaumu hao raia/Wananchi tunapaswa tujiulize: Je, ni kwa nini hasa huko DR Congo Vita na uasi havikomi miaka nenda rudi? Nini hasa kiini au chanzo cha kuwepo kwa huo Mgogoro na vurugu zisizoisha huko DR Congo?

Kimsingi, DR Congo kuna matatizo mengi Sana ambayo yanasababisha hali hiyo ya kuwepo kwa migogoro na Vita isiyokwisha.

Kwa kifupi, DR Congo is a failed State! Hakuna Utawala ulio madhubuti nchini DR Congo, Utawala wake unaundwa na Magenge ya Watu wachache Sana ambao umejikita kwenye ufisadi na uporaji wa rasilimali za nchi hiyo ili kujinufaisha wao wenyewe pamoja na Vibaraka wao (wafuasi wao wachache) ambao wamejikita huko Kinsasha huku kundi kubwa zaidi la Wananchi wengi zaidi wa nchi hiyo wamebaki kuwa mafukara wa kupindukia.

Mbaya zaidi Sana, Utawala wa nchi hiyo unafanya Siasa za Propaganda hatari za Kuwagawa Watu kwa misingi ya Ukabila, Ukanda, Itikadi za Siasa, n.k. Siasa za kuwagawa watu ni jambo baya na la hatari kubwa sana, matokeo yake ndiyo hayo unayoyaona ya Wanajeshi kuasi na kujiunga na Wapiganaji Waasi.

Hata baadhi ya Wananchi wengi waishio kwenye hayo maeneo yenye vurugu na Vita wamekuwa wakiwaunga mkono Waasi wa M23.
 
Inaripotiwa kuwa, mpaka majira ya saa 5 usiku, waasi wa M23 wameshindwa kuushika mji wa Goma na wameanza kuzidiwa.

Hii ni baada ya askari wa ranks za captain na Lieutenants kuoongoza vikosi vya jeshi la Kongo baada ya majenerali na wengine wa vyeo vya juu kukimbia.

hao walio kimbia mpaka sasa bado niwanajeshi?
 
Back
Top Bottom