Tetesi: M23 wamepewa kichapo na wamerudishwa nyuma baada na za Vikosi Maalum vya DRC kuingia Goma

Tetesi: M23 wamepewa kichapo na wamerudishwa nyuma baada na za Vikosi Maalum vya DRC kuingia Goma

Hasara ya ajira za kujuana na vyeo vya kupeana

Kamanda akifika uwanja wa mapambano kivita hamna kitu ni kutimua mbio tu huku akilia kama mwehu mama weee
We kahaba la Goma sikia nikupashe upashike!

Vita vimeanza Leo au zamani??

Walishindwa vipi kuhamisha biashara zao?

Walishindwa vipi kuondoka mapema hadi wasubirie hali ya hatari kiasi hiki??

Unataka JWTZ likahatarishe usalama wao kama wao walivyoamua kuhatarisha usalama wa maisha yao???

Kama waliamua kubaki ,

basi waendelee kubaki na kupambana na hali zao

waache kujiliza Liza humu!!!!!
 
Inaripotiwa kuwa, mpaka majira ya saa 5 usiku, waasi wa M23 wameshindwa kuushika mji wa Goma na wameanza kuzidiwa.

Hii ni baada ya askari wa ranks za captain na Lieutenants kuoongoza vikosi vya jeshi la Kongo baada ya majenerali na wengine wa vyeo vya juu kukimbia.

Jana jioni breaking news Goma imeangushwa sasa unakuja habari nyengine, chanzo chako ni mashaka mashaka ueandika na kujithibitishia mwenyewe
 
Tanzania tulivyopigana na Uganda viongozi wetu wa juu wa jeshi hawakuwa front?
January 20, 2025 Congo walikuwa na ibada ya kumuomba Mungu awatie imani Tanzania iwasaidie,Wacongo wanaamini mgogoro wao ulipofika Mungu pekee kupitia Tanzania ndiyo msaada uliyobaki uki M23 ikiwa imeshakuchukua maeneo muhimu

Januari 22,Mkuu wa Mafunzo na Oparesheni za Kivita wa JWTZ,Meja Jenerali Ibrahimu Mhona,akiambana na Mkuu wa Itifaki Kimataifa wa JWTZ Meja Jenerali,Mbaraka Naziady Mkeremy,walifanya ziara fiche kwenda Congo.kilichofata vilishushwa vyuma hatari

Hadi jana asubuhi maeneo mengi yamekombolewa,wakongo wengi wanashangilia Tanzania Tanzania,Tanzania Wakongo wanaamini anayeratibu machafuko kwao ni Rwanda.Rai yao Rwanda apigwe ili kukomesha vurugu

Goma leo imekuwa na shangwe kubwa kumbe watz watu wa maana tunaogopwa sana aisee Mungu awalinde wapiganaji wetu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania
 
January 20, 2025 Congo walikuwa na ibada ya kumuomba Mungu awatie imani Tanzania iwasaidie,Wacongo wanaamini mgogoro wao ulipofika Mungu pekee kupitia Tanzania ndiyo msaada uliyobaki uki M23 ikiwa imeshakuchukua maeneo muhimu
downloadfile.gif
 
January 20, 2025 Congo walikuwa na ibada ya kumuomba Mungu awatie imani Tanzania iwasaidie,Wacongo wanaamini mgogoro wao ulipofika Mungu pekee kupitia Tanzania ndiyo msaada uliyobaki uki M23 ikiwa imeshakuchukua maeneo muhimu

Januari 22,Mkuu wa Mafunzo na Oparesheni za Kivita wa JWTZ,Meja Jenerali Ibrahimu Mhona,akiambana na Mkuu wa Itifaki Kimataifa wa JWTZ Meja Jenerali,Mbaraka Naziady Mkeremy,walifanya ziara fiche kwenda Congo.kilichofata vilishushwa vyuma hatari

Hadi jana asubuhi maeneo mengi yamekombolewa,wakongo wengi wanashangilia Tanzania Tanzania,Tanzania Wakongo wanaamini anayeratibu machafuko kwao ni Rwanda.Rai yao Rwanda apigwe ili kukomesha vurugu

Goma leo imekuwa na shangwe kubwa kumbe watz watu wa maana tunaogopwa sana aisee Mungu awalinde wapiganaji wetu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania
Urongo.
 
Hivi mnaposema jeshi la Congo ni dhaifu , Kwa kiasi hicho mnachosema si ingekua washafika Hata Kisangani hao waasi ? au kufika Lubumbashi?

Bwana Mandala, nchi kubwa ile.
Mzaha Mzaha wale wahuni wanaweza kufika Kinshasa.

Lamsingi ni Wacongo kushikamana na kulipambania Taifa lao sasa, vijana waingie jeshini sasa kujitolea ili waumalize kabisa mgogoro huo.

Suluhu ni kuipeleka vita pale Kigari wamtoe PK ndio DRC inaweza kuwa shwari.
 
Bwana Mandala, nchi kubwa ile.
Mzaha Mzaha wale wahuni wanaweza kufika Kinshasa.

Lamsingi ni Wacongo kushikamana na kulipambania Taifa lao sasa, vijana waingie jeshini sasa kujitolea ili waumalize kabisa mgogoro huo.

Suluhu ni kuipeleka vita pale Kigari wamtoe PK ndio DRC inaweza kuwa shwari.
Ha hahahaha ni kweli usemalo lkn kufika Kinshasa ni ngumu.

Na kuhusu vijana wako vijana wazalendo wanajiita Wazalendo wanapambana nao wao
 
Ikawe heri kama ni kweli,,, na pia nasikia baba wa majeshi Africa ya mashariki JWTZ nao wametia timu kwenda kupiga tafu hawa ndugu zetu wakongo , wanachojua kukata viuno na kupaka mkorogo ila kulinda nchi yao aaaah
M23 hawataki kuwasikia JWTZ wanakwambia "hawa JW NI hatari wanapiga usiku, mchana, jua mvua wao wanapiga tu hujui hata wanakula na kulala saa ngapi? NI wao ndio walituondoa" kile kipindi walichopigwa wakakimbilia Uganda [emoji3][emoji3]
 
Ha hahahaha ni kweli usemalo lkn kufika Kinshasa ni ngumu.

Na kuhusu vijana wako vijana wazalendo wanajiita Wazalendo wanapambana nao wao

Msituni sio kazi kufika Kinshasa, mkishavunjwa defensive line yenu tu watu wanaserereka kama ilivyomkuta Mobutu offguard.

Vijana wakiCongo wanapaswa sasa kuifia nchi yao ili wasichezewechezewe Kila siku.
Hii kazi wasiiachie jeshi peke yake, hii kazi iwe ni kwa waCongoman wote kuanzia Kasumbalesa, Kolwezi, Lubumbashi na Katanga yote, kurudi Kinshasa, Kisangani, Bukavu, nk

Ni wakati sasa waCongo watangaze Fatwa, Kila Mcongo popote alipo duniani aje aipiganie nchi yake, uzalendo ndio iwe nyimbo kwenye maredio nk.
Wanasiasa waache kunywa chai Kinshasa, Paris, Belgium wajitolee nao na familia zao kuilinda nchi, Kila kijana above 18 ajiunge na jeshi kwa lazima, muziki upige marufuku kwa muda iwe nyimbo zakuhamasisha tu..nk.
 
Back
Top Bottom