Nangu Nyau
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 5,015
- 14,139
M23 hawataki kuwasikia JWTZ wanakwambia "hawa JW NI hatari wanapiga usiku, mchana, jua mvua wao wanapiga tu hujui hata wanakula na kulala saa ngapi? NI wao ndio walituondoa" kile kipindi walichopigwa wakakimbilia Uganda [emoji3][emoji3]
hahahaha tuache kuishi kwa historia, mfumo wa vita umebadirika sana sasa hivi.
Na tuwe makini sana kujiingiza kwenye hizi vita, kuna watu wana hamu sana na sisi.