Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Hahahaha,M23 kwenye mitandao mbn wepesi tu, Sasa ulizia waliofika Field watakuambiaMkuu nadhani hiki ulichosema ndicho kinawafanya watu waseme DRC ina jeshi dhaifu miaka yote wameshindwa kuwaeliminate m23, maana nchi yoyote inayojielewa na ina jeshi imara haiwezi kulea timbwili linalohatarisha usalama wa nchi yake.