Bachelor OG
JF-Expert Member
- Aug 27, 2022
- 878
- 1,195
BM-21 Ninazo nyumbani 2View attachment 3216460
Wazee wa kazi wameingia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BM-21 Ninazo nyumbani 2View attachment 3216460
Wazee wa kazi wameingia
BBC leo asubuhi wameripoti kuwa nusu ya goma inadhibitiwa na waasi.hukuweka wewe ni vyombo vya habari vya ulimwengu aljazeera, bbc nk vyote vimeripoti Gomba is down to M23
Labda sababu ya kuofanya Rwanda iongee na FDLR ni ipi!? Inyenyekewe kwa mauwaji waliyoyafanya? Inyenyekewe kwa maovu waliyoyafanya Congo!? Muda umefika maji na mafuta kujitenga. DRC yenye uhitaji wao ikakae nao huko inakojua yenyewe.Nasisitiza, ni busara kila upande kuongea na waasi wao.
Ko unatak hao junior ndio wafe sio kwaiyo umeajiliwa jeshini kukaa ofisini au kulinda raia mbona mnakuwa na mitazamo hasi na mibaya uko hamas viongoz wakubwa wanatunguliwa kwaiyo nao ni mfumo mbovuCongo ni nchi yenye mfumo wa jeshi mbovu sana sasa afisa mwenye rank ya major General anaendaje front line kuongoza mapigano. Hao junior officers wanakazi gani mpaka senior officers kama brig general na major general waokaongoze vita ndiyo maana yule Gavana major general kauawa
Ni majeshi ya Tanzania na South ndo yamefanya kazi kubwa sanaIkawe heri kama ni kweli,,, na pia nasikia baba wa majeshi Africa ya mashariki JWTZ nao wametia timu kwenda kupiga tafu hawa ndugu zetu wakongo , wanachojua kukata viuno na kupaka mkorogo ila kulinda nchi yao aaaah
Hints. Rwanda iongee na watoto na wajukuu wa wauaji.Labda sababu ya kuofanya Rwanda iongee na FDLR ni ipi!? Inyenyekewe kwa mauwaji waliyoyafanya? Inyenyekewe kwa maovu waliyoyafanya Congo!? Muda umefika maji na mafuta kujitenga. DRC yenye uhitaji wao ikakae nao huko inakojua yenyewe.
Jamaa anasema kweli fatilia VOA wame update taarifa zao huko ni mambo papaaKupitia hii vita nimejifunza kuna watu tuliowaamini ni waongo waongo. Buyobe kwenye hili ana chai nyingi sana.
Huyu dada ni mpumbavu sana pia wakongo hawana akili siku tutawachoka kuwasandiaView attachment 3216460
Wazee wa kazi wameingia
Huyo jamaa uwa ni mnyarwanda imhotep anajifichaficha ila tunajuaRwanda afanye mazungumzo na FDRL wamalize tofauti zao, vivyo hivyo na Congo, eneo hilo liwe na amani.
Jamaa anasema kweli fatilia VOA wame update taarifa zao huko ni mambo papaa
Inategemea na muundo wa jeshi lililoko vitani lina ukubwa gani.Congo ni nchi yenye mfumo wa jeshi mbovu sana sasa afisa mwenye rank ya major General anaendaje front line kuongoza mapigano. Hao junior officers wanakazi gani mpaka senior officers kama brig general na major general waokaongoze vita ndiyo maana yule Gavana major general kauawa
JW siyo jeshi lako,lako RPF,pili wazalendo siyo fdlr,ni uwongo,fdlr waliokimbia Rwanda wengi Wana umri wa kagame,tshisekedi aliita vijana wa kikongo kujiunga jeshini"Wazalendo" waliotekwa wote ni FLDR walikuwa recruited na Tshisekedi kwa lengo la kufanya Genocide nyingine Kongo.
So called Wazalendo ni Interahamwe ni vipi Jeshi letu JW lipigane bega kwa bega na Interahamwe.
Iundwe tume ichunguze hii blunder.
Basi. Wazo zuri. Lakini haiwezekani. Matokeo ndo haya unayoyaona, mbabe atajulikana tu. M23 wanadai haki yao. FDLR wanadai nini?Hints. Rwanda iongee na watoto na wajukuu wa wauaji.
Rwanda isihatarishe amani ya Congo kwa kisingizio cha kuwaangamiza FDRL.
Btw, Rwanda inavoshuri Congo waongee na M 23, kwanini wao wasiongee na FDRL?.....KILA UPANDE UONGEE NA WABAYA WAO ENEO LIPATE AMANI.
Kiongozi akiwa Front fire akiuawa nani ataongoza mpambano mkuu hili niswali lakoTanzania tulivyopigana na Uganda viongozi wetu wa juu wa jeshi hawakuwa front?
JW siyo jeshi lako,lako RPF,pili wazalendo siyo fdlr,ni uwongo,fdlr waliokimbia Rwanda wengi Wana umri wa kagame,tshisekedi aliita vijana wa kikongo kujiunga jeshini
Kwahiyo ghafla umekuwa Immigration officer?😆😁WEWE SIO MTANZANIA.