Tetesi: M23 wamepewa kichapo na wamerudishwa nyuma baada na za Vikosi Maalum vya DRC kuingia Goma

Tetesi: M23 wamepewa kichapo na wamerudishwa nyuma baada na za Vikosi Maalum vya DRC kuingia Goma

Unataka wasiende wakati ni kazi yao.kule Ukraine na urusi magenerali wanaingia front kubambana.Unavyozidi kupanda cheo maana yake na uzoefu unakuwa maradufu na inatakiwa kuuonyesha uzoefu wako kwenye mstari wa mbele siyo kwenye shida unawaachia junior
Mageneral wawe front!!!!?,vita ipi hyo mtu anaweka mageneral wake front.kwanza wengi ni watu wazima sana na wanalindwa.Alafu unajua mageneral wakiangushwa vitani askari wanakosa moral.hata vita za zamani za mapanga shaa generals walikuwa hawakai front
 
Hunijui sikujui kweni Ututsi ni uraia?
Wewe hata kama ni mtanzania mwenye asili ya kitutsi lakini una vinasaba vya uhaini.

Kwenye Tz huwa unasimama kwenye u-CCM na u-Chadema.

Kwenye utaifa huwa unasimama Rwanda na hujawahi kuficha hili!

Siku haya mataifa mawili yakipigana utakimbilia Rwanda na kuipigania.

Wewe ni mhaini wa wazi! Una vinasaba vyote vya uhaini.
 
Msituni sio kazi kufika Kinshasa, mkishavunjwa defensive line yenu tu watu wanaserereka kama ilivyomkuta Mobutu offguard.

Vijana wakiCongo wanapaswa sasa kuifia nchi yao ili wasichezewechezewe Kila siku.
Hii kazi wasiiachie jeshi peke yake, hii kazi iwe ni kwa waCongoman wote kuanzia Kasumbalesa, Kolwezi, Lubumbashi na Katanga yote, kurudi Kinshasa, Kisangani, Bukavu, nk

Ni wakati sasa waCongo watangaze Fatwa, Kila Mcongo popote alipo duniani aje aipiganie nchi yake, uzalendo ndio iwe nyimbo kwenye maredio nk.
Wanasiasa waache kunywa chai Kinshasa, Paris, Belgium wajitolee nao na familia zao kuilinda nchi, Kila kijana above 18 ajiunge na jeshi kwa lazima, muziki upige marufuku kwa muda iwe nyimbo zakuhamasisha tu..nk.
Rhumba na Kitaulo Wamuachie Nani?
 
Wewe hata kama ni mtanzania mwenye asili ya kitutsi lakini una vinasaba vya uhaini.

Kwenye Tz huwa unasimama kwenye u-CCM na u-Chadema.

Kwenye utaifa huwa unasimama Rwanda na hujawahi kuficha hili!

Siku haya mataifa mawili yakipigana utakimbilia Rwanda na kuipigania.

Wewe ni mhaini wa wazi! Una vinasaba vyote vya uhaini.
Naunga mkono hoja jamaa ni mnyarwanda.
 
Wewe Shombe wa Kiarabu usinichukie hunijui sikujui.
Hata uruke uruke vipi bado haiondoi maana kuwa wewe ni mhaini wa hili Taifa.

Unaupenda Ututsi kuliko utanzania. Uwepo wako kwenye taifa la Tanzania ni najisi.
 
Back
Top Bottom