FDLR kwao ni Rwanda na haki zao zipo huko, vivyo hivyo m23 kwao kulivyo Congo wanakodai haki zao.Basi. Wazo zuri. Lakini haiwezekani. Matokeo ndo haya unayoyaona, mbabe atajulikana tu. M23 wanadai haki yao. FDLR wanadai nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
FDLR kwao ni Rwanda na haki zao zipo huko, vivyo hivyo m23 kwao kulivyo Congo wanakodai haki zao.Basi. Wazo zuri. Lakini haiwezekani. Matokeo ndo haya unayoyaona, mbabe atajulikana tu. M23 wanadai haki yao. FDLR wanadai nini?
Mageneral wawe front!!!!?,vita ipi hyo mtu anaweka mageneral wake front.kwanza wengi ni watu wazima sana na wanalindwa.Alafu unajua mageneral wakiangushwa vitani askari wanakosa moral.hata vita za zamani za mapanga shaa generals walikuwa hawakai frontUnataka wasiende wakati ni kazi yao.kule Ukraine na urusi magenerali wanaingia front kubambana.Unavyozidi kupanda cheo maana yake na uzoefu unakuwa maradufu na inatakiwa kuuonyesha uzoefu wako kwenye mstari wa mbele siyo kwenye shida unawaachia junior
KATAA TU.Kwahiyo ghafla umekuwa Immigration officer?😆😁
Kagame anaidai nini Drc ?...mbona anaivuruga sana hivyo?Leo asubuhi Askari wa M23 wamekamata kituo cha mpakani kati ya Goma na Gisenyi nimeona video zao wakipiga magoti na kusali.
Aliewazuia hao FDLR kurudi kwao ni nani?FDLR kwao ni Rwanda na haki zao zipo huko, vivyo hivyo m23 kwao kulivyo Congo wanakodai haki zao.
Kagame anaidai nini Drc ?...mbona anaivuruga sana hivyo?
Sio mimi pekee Nyerere alisema Prof.Lumumba nae anasema👇KATAA TU.
UNASAPOTI UPUUZI
Msikilize Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.KATAA TU.
UNASAPOTI UPUUZI
Sheikh; kwa nini unakataa uraia wako?Kwahiyo ghafla umekuwa Immigration officer?😆😁
Hunijui sikujui kweni Ututsi ni uraia?Sheikh; kwa nini unakataa uraia wako?
Kwani ukikubali wewe Mrwanda utapungukiwa na nini?
Wewe hata kama ni mtanzania mwenye asili ya kitutsi lakini una vinasaba vya uhaini.Hunijui sikujui kweni Ututsi ni uraia?
Halafu Huyu Bwege Anawachota Kweli Wale fuata UpepoChanzo buyobe!?
Ingekuwa angalau Al Jazeera sawa
Wewe Mwarabu au shombe unanichukia tokea niwaunge mkono Waisraeli kwenye Vita vya Gaza.Wewe ni mhaini wa wazi! Una vinasaba vyote vya uhaini.
Rhumba na Kitaulo Wamuachie Nani?Msituni sio kazi kufika Kinshasa, mkishavunjwa defensive line yenu tu watu wanaserereka kama ilivyomkuta Mobutu offguard.
Vijana wakiCongo wanapaswa sasa kuifia nchi yao ili wasichezewechezewe Kila siku.
Hii kazi wasiiachie jeshi peke yake, hii kazi iwe ni kwa waCongoman wote kuanzia Kasumbalesa, Kolwezi, Lubumbashi na Katanga yote, kurudi Kinshasa, Kisangani, Bukavu, nk
Ni wakati sasa waCongo watangaze Fatwa, Kila Mcongo popote alipo duniani aje aipiganie nchi yake, uzalendo ndio iwe nyimbo kwenye maredio nk.
Wanasiasa waache kunywa chai Kinshasa, Paris, Belgium wajitolee nao na familia zao kuilinda nchi, Kila kijana above 18 ajiunge na jeshi kwa lazima, muziki upige marufuku kwa muda iwe nyimbo zakuhamasisha tu..nk.
Unaleta michezo ya watoto unarukia huku?Wewe Mwarabu au shombe unanichukia tokea niwaunge mkono Waisraeli kwenye Vita vya Gaza.
Wewe Shombe wa Kiarabu usinichukie hunijui sikujui.Unaleta michezo ya watoto unarukia huku?
Wewe ni mhaini tu, periodt.
Naunga mkono hoja jamaa ni mnyarwanda.Wewe hata kama ni mtanzania mwenye asili ya kitutsi lakini una vinasaba vya uhaini.
Kwenye Tz huwa unasimama kwenye u-CCM na u-Chadema.
Kwenye utaifa huwa unasimama Rwanda na hujawahi kuficha hili!
Siku haya mataifa mawili yakipigana utakimbilia Rwanda na kuipigania.
Wewe ni mhaini wa wazi! Una vinasaba vyote vya uhaini.
WEWE SI MTANZANIA.Wewe Shombe wa Kiarabu usinichukie hunijui sikujui.
Hata uruke uruke vipi bado haiondoi maana kuwa wewe ni mhaini wa hili Taifa.Wewe Shombe wa Kiarabu usinichukie hunijui sikujui.