Tetesi: M23 wamepewa kichapo na wamerudishwa nyuma baada na za Vikosi Maalum vya DRC kuingia Goma

Tetesi: M23 wamepewa kichapo na wamerudishwa nyuma baada na za Vikosi Maalum vya DRC kuingia Goma

Ni imhotep

Huyu Sheikh anasema yeye ni mtanzania. Ila ikiguswa Rwanda kwa namna yoyote anasimama na Rwanda na huoni akiwa upande wa Tanzania.

Ni mhaini huyu!
Tanzania Wanyarwanda na watu wa Mataifa mengine ya jirani wapo wengi sana. Tanzania is motherland, and as a motherland hatuna sababu ya kuwachukia wageni na majirani waliopo katikati yetu. Cha msingi hawafunji Sheria za nchi. We needs those brains from our neighbouring countries
 
Kulikoni hivyo vikosi maalumu, vimeweza kurudisha Goma
 
Back
Top Bottom