Hasara ya ajira za kujuana na vyeo vya kupeanaHuko hali ni tete ma platuni kamanda wanakimbia
Congo ni nchi yenye mfumo wa jeshi mbovu sana sasa afisa mwenye rank ya major General anaendaje front line kuongoza mapigano. Hao junior officers wanakazi gani mpaka senior officers kama brig general na major general waokaongoze vita ndiyo maana yule Gavana major general kauawaIkawe heri kama ni kweli,,, na pia nasikia baba wa majeshi Africa ya mashariki JWTZ nao wametia timu kwenda kupiga tafu hawa ndugu zetu wakongo , wanachojua kukata viuno na kupaka mkorogo ila kulinda nchi yao aaaah
Tanzania wajifunze kupitia hili.. ipo siku kitaumana halafu baba kanituma wajisalimishe kwa maadui.. itakuwa ni aibu sanaHasara ya ajira za kujuana na vyeo vya kupeana
Kamanda akifika uwanja wa majambano kivita hamna kitu ni kutimua mbio tu huku akilia kama mwehu mama weee
Vyeo wanagawana kama kondomu kila mwenye nduguye anataka nduguye awe major GeneralCongo ni nchi yenye mfumo wa jeshi mbovu sana sasa afisa mwenye rank ya major General anaendaje front line kuongoza mapigano. Hao junior officers wanakazi gani mpaka senior officers kama brig general na major general waokaongoze vita ndiyo maana yule Gavana major general kauawa
Tanzania tulivyopigana na Uganda viongozi wetu wa juu wa jeshi hawakuwa front?Congo ni nchi yenye mfumo wa jeshi mbovu sana sasa afisa mwenye rank ya major General anaendaje front line kuongoza mapigano. Hao junior officers wanakazi gani mpaka senior officers kama brig general na major general waokaongoze vita ndiyo maana yule Gavana major general kauawa
Hiki chanzo chako cha habari unakiamini ?
🤣🤣🤣Ikawe heri kama ni kweli,,, na pia nasikia baba wa majeshi Africa ya mashariki JWTZ nao wametia timu kwenda kupiga tafu hawa ndugu zetu wakongo , wanachojua kukata viuno na kupaka mkorogo ila kulinda nchi yao aaaah
Huko hali ni tete ma platuni kamanda wanakimbia
Congo ni nchi yenye mfumo wa jeshi mbovu sana sasa afisa mwenye rank ya major General anaendaje front line kuongoza mapigano. Hao junior officers wanakazi gani mpaka senior officers kama brig general na major general waokaongoze vita ndiyo maana yule Gavana major general kauawa
Siyo kweli kwamba WaCongoman siyo wazalendo kwa nchi yao, la hasha. Kabla ya kuwalaumu hao raia/Wananchi tunapaswa tujiulize: Je, ni kwa nini hasa huko DR Congo Vita na uasi havikomi miaka nenda rudi? Nini hasa kiini au chanzo cha kuwepo kwa huo Mgogoro na vurugu zisizoisha huko DR Congo?Ikawe heri kama ni kweli,,, na pia nasikia baba wa majeshi Africa ya mashariki JWTZ nao wametia timu kwenda kupiga tafu hawa ndugu zetu wakongo , wanachojua kukata viuno na kupaka mkorogo ila kulinda nchi yao aaaah
Imhotep kweli mjuvi na si mjuzi,ni shabiki tu wa kagame
hao walio kimbia mpaka sasa bado niwanajeshi?Inaripotiwa kuwa, mpaka majira ya saa 5 usiku, waasi wa M23 wameshindwa kuushika mji wa Goma na wameanza kuzidiwa.
Hii ni baada ya askari wa ranks za captain na Lieutenants kuoongoza vikosi vya jeshi la Kongo baada ya majenerali na wengine wa vyeo vya juu kukimbia.
Komandoo umeliona wapi kwenye uzi? Komandoo sio cheo, ni mafunzo. Watoto wa wakubwa hawaendagi huko, kule kwa moto sanaHasara ya ajira za kujuana na vyeo vya kupeana
Kamanda akifika uwanja wa mapambano kivita hamna kitu ni kutimua mbio tu huku akilia kama mwehu mama weee
Kwani nini hasa maana ya neno Mwanajeshi? Tuanzie kwanza hapahao walio kimbia mpaka sasa bado niwanajeshi?