M23 wateka mji wa Shasha, na kuanza kuzingira Goma, busara itumike

M23 wateka mji wa Shasha, na kuanza kuzingira Goma, busara itumike

Wakubwa wa dunia wanataka vita iishe au ndo wanaiendekeza?
Wakubwa wana nufaika na vita ya DRC pakubwa sana, mali inatoka pale kwa punguzo kubwa maana wao ndio wana wapa msaada wahalifu pale kupitia mawakala wao wakina Kagame
 
Wakubwa wana nufaika na vita ya DRC pakubwa sana, mali inatoka pale kwa punguzo kubwa maana wao ndio wana wapa msaada wahalifu pale kupitia mawakala wao wakina Kagame

Sikudhani kuna kitu nitakuja kukubaliana na wewe humu JF, ila kwenye hili uko sahihi sana.
 
Sijakuelewa nini povu na matusi....
Tunaongea kuhusu DRC na hili suala la M23, umeiweka vizuri kuhusu hilo la split personalities, ni mojawapo wa changamoto ambayo hakuna aliyekubishia, sasa mbona utokwe povu na matusi.
Watutsi ni watu hatari sana kwenye jamii yoyote, hawana uzalendo popote nje ya Rwanda, hata kama kazaliwa na kukulia Kenya, lazima kiaina atakua anawaza Rwanda.
Shida kubwa ni kwamba mataifa majirani ya Rwanda ikiwemo hata hiyo DRC, Tanzania, Burundi na Uganda kuna Watutsi hadi maeneo nyeti kwenye uongozi.
Hao kama Waisraili hata awe vipi yeye ni israili nafikiri ni mpango wa Raisi wao kutaka kuichukua DRC kama koloni lake maana mali za kongo nyingi anakwenda kuiba kule nadio maana anapachika watu huku mdogo mdogo wakija kuibuka ktk usingizi mzito wabongo nchi ishachukuliwa.
 
Itafutwe mbinu ya kisiasa ya kupatanisha wapiganaji kwenye nchi ya DRC, vita vya nchi ile sio vya kawaida, kuna mkanganyiko mkubwa sana na umwagikaji wa damu utaendelea kwa muda mrefu kama pande zote zitaendelea kutunisha misuli.

============

M23 Rebels Seize Strategic Town in Rapid Advance to Goma ocals said after taking control of Shasha on Sunday, M23 went further to capture Kihindo, Kituva, Bukobati and Nyamubingwa settlements.

M23 rebels have captured the strategic town of Shasha following intense fighting with government forces and a coalition of militia groups known as Wazalendo.

Shasha is located in the Masisi territory, about thirty kilometres southwest of the city of Goma, capital of North Kivu. Located on National Road 2, the town links the capitals of the provinces of North and South Kivu.

The capture of Shasha helps M23 rebels block a key route used by government forces to defend Goma.
Startled by the fighting, civilians fled en masse to the town of Minova, located further south on the same road.

By Monday morning, M23 rebels were already controlling Goma-Minova road.

Locals have also fled the town of Sake, where government forces and United Nations troops have deployed heavily to counter the advancing rebels.
Habari ya weekend hii,mambo yashabadilika
 
Itafutwe mbinu ya kisiasa ya kupatanisha wapiganaji kwenye nchi ya DRC, vita vya nchi ile sio vya kawaida, kuna mkanganyiko mkubwa sana na umwagikaji wa damu utaendelea kwa muda mrefu kama pande zote zitaendelea kutunisha misuli.

============

M23 Rebels Seize Strategic Town in Rapid Advance to Goma ocals said after taking control of Shasha on Sunday, M23 went further to capture Kihindo, Kituva, Bukobati and Nyamubingwa settlements.

M23 rebels have captured the strategic town of Shasha following intense fighting with government forces and a coalition of militia groups known as Wazalendo.

Shasha is located in the Masisi territory, about thirty kilometres southwest of the city of Goma, capital of North Kivu. Located on National Road 2, the town links the capitals of the provinces of North and South Kivu.

The capture of Shasha helps M23 rebels block a key route used by government forces to defend Goma.
Startled by the fighting, civilians fled en masse to the town of Minova, located further south on the same road.

By Monday morning, M23 rebels were already controlling Goma-Minova road.

Locals have also fled the town of Sake, where government forces and United Nations troops have deployed heavily to counter the advancing rebels.
Ifikie mahali tukubaliane kuwa EAC haitakuja ku ku achieve malengo yake kama inavyo jinasibu. Amani ya kongo ni kipimo.
 
Itafutwe mbinu ya kisiasa ya kupatanisha wapiganaji kwenye nchi ya DRC, vita vya nchi ile sio vya kawaida, kuna mkanganyiko mkubwa sana na umwagikaji wa damu utaendelea kwa muda mrefu kama pande zote zitaendelea kutunisha misuli.
Hilo ni jeshi la Rwanda (RDF) wamevamia Drc na kuendesha machafuko.

Rwanda ibanwe na jamii ya kimataifa iondoe askari wake Drc.
 
Hilo ni jeshi la Rwanda (RDF) wamevamia Drc na kuendesha machafuko.

Rwanda ibanwe na jamii ya kimataifa iondoe askari wake Drc.

Tatizo hiyo jamii ya kimataifa utakuta ndio inanufaika na mkanganyiko wa DRC, na wanamtumia Kagame kuendelea kuharibu.
 
Tatizo la Congo liko Kigali, tuendelee kupambana nalo kijeshi, na pia wakati huo huo tukiwa tunasubiri muda na wakati sahihi.

Nina imani miaka 15-20 tatizo litakuwa limekwisha, au linakaribia asilimia 85 ya suluhu. Moja kati ya sukuhu ni kuwa na uongozi wa kidemokrasia Rwanda na Uganda bula kuingilia siasa za nchi hizo, hasa siasa za Uganda.
 

View: https://m.youtube.com/watch?v=yWttYwCdJ5k&pp=ygUOTWFtYWRvdSBjb25nbyA%3D

Lucky for you watanzania awajakujuwa na wana support ujinga wako.

Hivi unadhani watanzania wote hawajui shida ya Goma ni weakness ya serikali ya Congo kuwaachia local army kupambana hiyo vita.

Local army yenyewe ya Congo (Goma) imejaa wanyarwanda kila mara jeshi la Congo likipiga hatua wanajeshi ambao wapo loyal na Rwanda wana sabotage gain.

Hata kama. Tanzania tuna raia wengi vilaza ambao hawakuoni for what you are; nonetheless you are just a pathetic foreigner with ill intentions. Lucky for you, with having so many gullible supporters to be entertained with your stupidity.

You can fool people sometimes, but you can’t fool people all the time.

Never mind support ya watanzania wapuuzi wasiokuelewa. Kiasi gani ulivyo mjinga all you do is inciting hatred and division kama ulivyozoea huko kwenu.

Stupid you

We mbwa ni wa wapi mbona hueleweki unachoongea. Ni wale wanyarwanda mnaong'ang'ania nchi ya watu?
 
Itafutwe mbinu ya kisiasa ya kupatanisha wapiganaji kwenye nchi ya DRC, vita vya nchi ile sio vya kawaida, kuna mkanganyiko mkubwa sana na umwagikaji wa damu utaendelea kwa muda mrefu kama pande zote zitaendelea kutunisha misuli.

============

M23 Rebels Seize Strategic Town in Rapid Advance to Goma ocals said after taking control of Shasha on Sunday, M23 went further to capture Kihindo, Kituva, Bukobati and Nyamubingwa settlements.

M23 rebels have captured the strategic town of Shasha following intense fighting with government forces and a coalition of militia groups known as Wazalendo.

Shasha is located in the Masisi territory, about thirty kilometres southwest of the city of Goma, capital of North Kivu. Located on National Road 2, the town links the capitals of the provinces of North and South Kivu.

The capture of Shasha helps M23 rebels block a key route used by government forces to defend Goma.
Startled by the fighting, civilians fled en masse to the town of Minova, located further south on the same road.

By Monday morning, M23 rebels were already controlling Goma-Minova road.

Locals have also fled the town of Sake, where government forces and United Nations troops have deployed heavily to counter the advancing rebels.
Mwisho wa ubaya ni aibu. Hilo likagame kuna mataifa ya nje yanamtumia, ila mwisho wa huyo jamaa ni aibu. Hata chombo kilichoandika hizo habari mi siiamini, imekaa kipropaganda kuliko ukweli
 

View: https://m.youtube.com/watch?v=yWttYwCdJ5k&pp=ygUOTWFtYWRvdSBjb25nbyA%3D

Lucky for you watanzania awajakujuwa na wana support ujinga wako.

Hivi unadhani watanzania wote hawajui shida ya Goma ni weakness ya serikali ya Congo kuwaachia local army kupambana hiyo vita.

Local army yenyewe ya Congo (Goma) imejaa wanyarwanda kila mara jeshi la Congo likipiga hatua wanajeshi ambao wapo loyal na Rwanda wana sabotage gain.

Hata kama. Tanzania tuna raia wengi vilaza ambao hawakuoni for what you are; nonetheless you are just a pathetic foreigner with ill intentions. Lucky for you, with having so many gullible supporters to be entertained with your stupidity.

You can fool people sometimes, but you can’t fool people all the time.

Never mind support ya watanzania wapuuzi wasiokuelewa. Kiasi gani ulivyo mjinga all you do is inciting hatred and division kama ulivyozoea huko kwenu.

Stupid you

Huwezi ku debate na mtu intellectually bila matusi?
Haueleweki.
 
Nina imani miaka 15-20 tatizo litakuwa limekwisha, au linakaribia asilimia 85 ya suluhu. Moja kati ya sukuhu ni kuwa na uongozi wa kidemokrasia Rwanda na Uganda bula kuingilia siasa za nchi hizo, hasa siasa za Uganda.
Hata mimi ninaamini hili, mabadiliko ya tawala za Kigali na Kampala kutoka kiimla mpaka Kidemokrasia kutakuwa nafuu kubwa mno kwa amani ya Drc.

JokaKuu zitto junior
 
Tatizo la Kongo nyoka tayali ameingia chumbani kwa uzembe wao wenyewe na wanajua kabisa kwamba nyoka yuko chumbani lakini hawataki kumtoa
 
M23 awawezi ichukua Goma, kilichopo ni jeshi la Congo kwanza linatumia local army recruits mainly kupambana hiyo vita.

Goma ina watutsi wengi ambao wapo loyal to Rwanda na Uganda ambao wamejiunga na jeshi Congo na wanauza mbinu za vita; information ambazo zinarahisha M23 kufanya ambush zao.
Mkuu usijari Hilo linajulikana na ndiyo maana Kuna wanajeshi wa usalama walishajiunga na m23 na washajua information yote. Na nakuhakikishia hao watusi waliokwenye jeshi la congo wataanza kuuwawa mmoja Hadi mwingine. Mpaka aliyewatuma atajuta. Wacongo Mungu amesikia kilio Chao na watakaa kwa amani
 
Back
Top Bottom