M23 wateka mji wa Shasha, na kuanza kuzingira Goma, busara itumike

Acha kuwapa sifa hao vilaza wa kitusi kwanza wanatambulika kirahisi sana hawana ujanja kukwepa kutiwa nguvuni labda watoroke
 
Acha kuwapa sifa hao vilaza wa kitusi kwanza wanatambulika kirahisi sana hawana ujanja kukwepa kutiwa nguvuni labda watoroke

Hamna sehemu nimewasifu, if anything sifurahii kuona machafuko ukanda wetu huu, nataka niwe na uhuru wa kukatiza DRC kutafuta fursa za kuwekeza bila ya kushambuliwa na kundi lolote la wapiganaji, we need rule of law and justice kote.
Kama tatizo ni Rwanda, inapaswa ipigwe vikwazo vya kiuchumi na mataifa yote ukanda huu, for once we need lasting peace in DRC and whole of EAC.
Inakera sana kuona picha kama hizi, yataisha lini

 
 
Kama ukisema tatizo la Congo ni Rwanda utakuwa hauwafanyii haki wa Congo maelfu kwa maelfu walio ukimbizini Dunia nzima kutokana na kufukuzwa kwenye ardhi yao na magenga ya Interahamwe FDLR yakisaidiwa na FARDC yenyewe. +100000 wapo Rwanda, +400000wapo Uganda, +20000wapo Kenya, +50000duniani kote. Unless na wewe unasema kuwa hao ni WanyaRwanda na sio wa Congo. Hiyo population ndio base ya recruitment ya M23. Na hata kama wanasaidiwa na Rwanda lazima unafahamu kwa nini, jibu ni FDRL, ambayo ina operate bega kwa bega na DRC na sasa iko na SADC pia. EAC walikuwa very proffesional wakagoma kushirikiana nao, Lakini SADC wameingia kwenye mtego wa Tshisekedi wa kufanya alliance na FDRL kitu ambacho watakuja kijutia. hivi sasa mizani ya Vita imegeuka kabisaa, hata SADC wenyewe wamekuta maji yamekuwa marefu sana sio kama 2013 yalikuwa chini ya magoti, hivi sasa yako kati ya bega na sikio, na kwa sababu hiyo Diplomasia imebidi itumike chini kwa chini, fuatilia kwa karibu utagundua hata zile statement za mwanzoni wakati SADC imeingia hazitumiki tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…