Blackcornshman
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 6,514
- 15,701
Hiyo vita hamna kukurupuka itamalizwa na ndugu zetu waha na siyo SADC.Ni swala la muda tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Idumu daima bahima empireHata siyo nusu Jeshi lote la Tanzania ni wanyarwanda hadi mkuu wao.
Unacoment ukiwa Tanzania.Acha vitisho vya kijinga
Hao ni wakongomani wanaozungumza kinyarwandaRwanda refugees
M23 wamezaliwa Congo ndo nyumbani kwao.M23 warudi kwao rwanda,hata fdrl walienda congo kitambo kama m23 tu,lakini mbona fdrl awalalamiki kama wao ni wacongo na tena wengi wamezaliwa congo ila wanajua wako ukimbizini kama walivyozaliwa wengi wa m23
Acha habari za umbea,ni lini Kagame aliwahi sema anawaunga mkono M23???
... HALAFU WANAJIFANYA WATAALAM SANA WA IT!Tena sio mmoja zilikuwa kama nne hivi
Hata siyo nusu Jeshi lote la Tanzania ni wanyarwanda hadi mkuu wao.
Machafuko ya jirani zetu yanakuwa vipi hayatuhusu?Hii ndio shida ya kuingilia mambo ya siyo tuhusu . Hao M23 siyo wale wa 2013 serikali rudisha vijana wetu nyumbani. Mgogoro wa Congo utatuliwa na wacongomani wenyewe.
Wanalipwa hela ndefu hao toka UNHCR na UN.Vijana wetu wanafia nini kwenye Foreign Wars?
Kwamba bandari ya Mombasa wao hawaitumii?!Ukishambulia peacekeepers wana right ya kujilinda, kama wanadhani walipoweka kambi sio salama shurti ku-neutralise athari.
M23 kwa kurusha hilo kombora wamewapa kibali SADC kutumia silaa dhidi yao na aitokuwa mara ya kwanza kusikia mziki wao.
Shida ya hawa watu kudhania wana nguvu kweli za kijeshi, wakati strategically Tanzania ina uwezo wa kukata supply ya chakula na mafuta kote Rwanda na Goma; kikafuata kichapo cha muda mfupi hawana pa kukimbilia magari hayana mafuta huku wananchi njaa.
wanafuata dollar laki 2 zileAlooh nmestuka, hivi hua wanafata kitu gan huko au ndo uzalendo kinyesi.
Mombassa ni njia ndefu kwao halafu ndege moja tu Inauwezo wa kuharibu barabara ya Gatuna Border kufanya shughuli yao kuwa ngumu zaidi. Bado Tanzania ina uwezo wa kuikata hiyo njia hata kwa ground invasion ya North Rwanda.Kwamba bandari ya Mombasa wao hawaitumii?!
Kwahiyo JWTZ wamekuwa Wakimbizi?Wanalipwa hela ndefu hao toka UNHCR na UN.
Wana fungu lao pia hujui tuKwahiyo JWTZ wamekuwa Wakimbizi?
hawa wagawa bandari na ngorongor ndo watalipiza kisasi ? Watz hatuna serikali , huku tunajiliwaza tuKitalipizwa tu kisasi.
Muda utaongea.
Hebu weka source yako nijiridhishe.Wana fungu lao pia hujui tu