M23 yaua wanajeshi 3 wa Tanzania huko Goma DRC

M23 yaua wanajeshi 3 wa Tanzania huko Goma DRC

Ndio maana EAC Force ilitaka kuweka Dialogue mbele kwanza ila huyo Raisi wa Kongo alikuwa anaongea tough talking wakati hana Jeshi kwa lengo la kupata kura.

M23 walikuwa wameanza kuliamini Jeshi la EAC na huu mgogoro ungeishia Mezani.
 
Tafasiri yako ichukuliwe kwa Tahadhari-sio kwamba siitaki, nakataaje maoni yako?









Mkuu suala hili ni very complex na naamini unajua hilo, Fika.

Tatizo langu ni hizi lugha za Uchonganishi na Kwanini Watanzania waingizwe kwenye Vita hii. Hypothetically, Watanzania watatu wamekufa(God rest their soul) Tunaingia Kumchapa Kagame-then what? Mitafaruku ya Congo inaisha? au za Tutsi na Hutu? Sidhani.
Ushauri umekuwa watolewa kwamba ni lazima madai ya M23 yasikilizwe.

Huu mgogoro si wa kuuingilia kichwakichwa ni lazima kuwe na stratejia ya kueleweka.
 
Majina hayajatajwa.

Ikumbukwe jana Rais wa Rwanda Bw Kagame amekuri kuwa anawaumga mkono waasi wa M23 kwa kusema haoni sababu ya kuwapinga waasi hao.

Hivyo kwa tafasiri ni kuwa Wanajeshi wa Rwanda wamewauwa wanajeshi wa Tanzania huko DRC.

=====

Wanajeshi watatu wa Tanzania wameuawa kwenye shambulio la kombora lililotokea katika Mji wa Kivu ulio Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Jumuiya ya Ushirikiano ya SADC imethibitisha habari hizo kupitia tovuti yake.

Taarifa ya SADC iliyowekwa kwenye akaunti yake ya mtandao wa X (zamani Twitter) ,ilisema katika shambulio hilo la kombora, wanajeshi wengine watatu wa Tanzania walijeruhiwa.

Askari wa Tanzania ni sehemu ya Kikosi cha SADC kilichopelekwa Mashariki mwa DRC kwaajili ya kulinda amani ikijumuisha pia nchi za Malawi na Afrika Kusini.

View attachment 2957891

Sent from my A002SH using JamiiForums mobile app
We ni mpumbavu na idiot. Wanajeshi wameuawa na waasi wewe unalazimisha ni Rwanda. Very stupid.
 
Hutaki hiyo tafasiri. Jana PK kaulizwa kama anaunga mkono M23 akajibu haoni sababu ya kutowaunga mkono. Thats means anawaunga mkono.

Hivyo tafasiri ni kutokana na maneno ya PK.

Kama M23 ni nduguzo waambie waache kuuwa raia wa DRC. Africa tumechoka vita za Watutsi.

Tangu na tangu kila vita lazima mshiriki mnauwa maras na marais. Zama na zama


Sent from my A002SH using JamiiForums mobile app
Acha kupika maneno. Usipende kuropoka kwenye mambo usiyoyajua.
 
Hapo ni vitani. Anauawa yeyote.
Unauwa watu ambao awakushambulii.

Given the timing of the attack hiyo inaweza tafsiriwa kama ni retaliation tu dhidi ya kiongozi wao aliekamatwa Tanzania na kupelekwa Congo.

Kwa maana nyingine ni direct attack dhidi ya Tanzania, sasa a proportionate response inahitajika dhidi ya M23. Kutopeleka kichapo ni kuwaaminisha wanauwezo ata wakupiga ndani ya Tanzania na kuachwa.
 
Wapumzike kwa amani wanajeshi wetu,lakini hakuna jinsi hii vita inatuhusu sana tu.Hakuna kurudi nyuma na wawape majibu mazito kwa unyama huo.Serikali iwaangalie sana hawa jamaa wa Rwanda ndani ya Tanzania siyo watu wazuri kabisa.Nategemea SADC nao wanajuwa nini cha kufanya kwa hao M23.
SADEC wamezuiawa kupigana vita huko na mashambulizi ya ndege pia yapigwa marufuku
Lile shambulizi la Jeshi la Tanzania kuwapiga M23, M23 wakaandika barua UN na America naye akaingilia SADEC wakazuiawa kupigana Jeshi la SADEC lipo kati miji ya Sake na Goma hawatoki kwenye hiyo Miji
Wanatoa vifaa kwa jeshi la Congo
 
Ila aibu SADC nchi zote hizo wanapigana na kikiundi kimoja Cha Banyamulenge.
Wanauwezo wakupigana na SADC kama wangekuwa wanashambulia.

Mind you SADC hipo combat ready huko (maana yake wana kila zana ya kupigana wakiamua) anytime wanaweza kukinukisha wakitaka.

M23 hawajui mipaka yao, ni uchokozi mkubwa sana kuuwa askari wa nchi nyingine; unawapa uhalali wa kujilinda hata kama lengo ni peacekeeping.
 
Unauwa watu ambao awakushambulii.

Given the timing of the attack hiyo inaweza tafsiriwa kama ni retaliation tu dhidi ya kiongozi wao aliekamatwa Tanzania na kupelekwa Congo.

Kwa maana nyingine ni direct attack dhidi ya Tanzania, sasa a proportionate response inahitajika dhidi ya M23. Kutopeleka kichapo ni kuwaaminisha wanauwezo ata wakupiga ndani ya Tanzania na kuachwa.
Wakati M23 wanalalamika kushambuliwa na Jeshi la SADC si mlifurahia, Leo kajibu mapigo mnaanza kulalamika. Tupunguze unafiki.
 
Wanauwezo wakupigana na SADC kama wangekuwa wanashambulia.

Mind you SADC hipo combat ready huko (maana yake wana kila zana ya kupigana wakiamua) anytime wanaweza kukinukisha wakitaka.

M23 hawajui mipaka yao, ni uchokozi mkubwa sana kuuwa askari wa nchi nyingine; unawapa uhalali wa kujilinda hata kama lengo ni peacekeeping.
Acha propaganda wale wapo kule kusaidiana na FDLR kupambana na Banyamulenge
 
Acha propaganda wale wapo kule kusaidiana na FDLR kupambana na Banyamulenge
Subiri kichapo cha SADC kianze ndio utajua tofauti ya peacekeeping na combat.

Sasa hivi utasikia M23 imeachia maeneo na Kagame analia huko SADC waondoke.

Kagame mwenyewe ameshaanza kujiami na story ndefu za historia ya M23 anajua nini kinafuata ukishambulia askari wa Tanzania.
 
Back
Top Bottom