Ma-expert wa bible msaada kidogo kunifafanulia hili

Ma-expert wa bible msaada kidogo kunifafanulia hili

Tatizo lako Ishmael, ni kule kudhania kuwa unaweza kustawisha dosari katika dini za wenzako na kwa mtindo huo unadhani unapigia chapuo dini yako. Sio tuu kwamba ni uduni wa fikra lakini pia ni kutokomaa kwa akili. Usidhani wasiotusi dini za wenzao na huku wamekaa kimya na kujisomea uzi huu kiutaratibu wana IQ ndogo zaidi yako. On the contrary unavuruga context na maana ya uzi huu na infact hata mleta mada kakurai uachane na behaviour korofi.

Ili uelewe kuwa wewe sio kitu inapokuja masula ya kidini. Nakukaribisha uueleweshe umma juu ya aya hii;

8Again, the devil took Him to a very high mountain and showed Him all the kingdoms of the world and their glory;9and he said to Him, "All these things I will give You, if You fall down and worship me."… (Mathew 4:8-9)

Sherehesha hapa tukuelewe, yaelekea ALIYEMSAFIRISHA MWENZAKE TOKA GROUND LEVEL HADI HIGHEST MOUNTAIN NI SHETANI aliyelaaniwa. Au nasoma tofauti?


Tatizo lenu mnapenda kusoma vitu robo robo bila ya kuanzia mwanzo. Islam is a problem and leaders in this weird way of learning.

Let me put the whole story hereunder.
[h=1]Matthew 4:1-9[/h][h=2]Mk 1:12,13; Lk 4:1-13[/h]1 Then Jesus was led by the Spirit into the desert to be tempted by the devil. 2 After fasting forty days and forty nights, he was hungry. 3 The tempter came to him and said, "If you are the Son of God, tell these stones to become bread." 4 Jesus answered, "It is written: 'Man does not live on bread alone, but on every word that comes from the mouth of God.' " 5 Then the devil took him to the holy city and had him stand on the highest point of the temple. 6 "If you are the Son of God,"he said, "throw yourself down. For it is written: " 'He will command his angels concerning you, and they will lift you up in their hands, so that you will not strike your foot against a stone.' " 7 Jesus answered him, "It is also written: 'Do not put the Lord your God to the test.' " 8 Again, the devil took him to a very high mountain and showed him all the kingdoms of the world and their splendor.9 "All this I will give you," he said, "if you will bow down and worship me."

NOTE:
Verse 1: Jesus was let by the Spirit
Verse 3: The tempter/Satan came to Jesus and not what you said and or asked.
 
Mkuu hizo ni zama za Agano la Kale, ndio lililokataza hata kuliwa wanyama kama Ngamia, Sungura, Nguruwe n.k lakini Yesu Kristo akaleta Injili na kuboresha Amri zilizoshushwa kupitia Mussa.
Ndipo alipokuja kwa kusisitiza upendo kwa ajili ya kuimarisha Amri zilizoshushwa kupitia Mussa. Si hayo tu aliwatimua hata waumini waliokuwa wakifanya biashara Kanisani wakati huo.
Ova
 
Numbers 21:33-35 God ordered Moses to do to King of Og as he had done to others. Moses struck down the King's sons and all his people until none were left and took possession of his land.
God Ordered Moses To Kill Kings And To Steal Their Lands
Musa alikuwa Mkristo au Muislamu?
 
Does The Biblical God Lie & Deceive?
I Kings 22:22 God said:I will be a lyingspiritin the mouth of all his prophets.
II Chronicles 4:4 The God of this worldhas blinded the mindsof them who believe not.
II Chronicles 18:21 God said:I will be a lying spiritin the mouth of his prophets.
II Chronicles 18:22The Lord has put a lying spiritin the mouth of thy prophets.
Jeremiah 20:7 OhLord, You have deceived me, and I was deceived.
IIThessalonians2:11God shall send them strong delusionthat they believe a lie.
Ezekiel 20:25God said: I gave them bad statutes/ judgments so they would not live.
Out of context
For example, the Quran calls Allah a makr, in fact the best makr there is:
But they (the Jews) were deceptive, and Allah was deceptive, for Allah is the best of deceivers (Wamakaroo wamakara Allahu waAllahu khayru al-makireena)! S. 3:54; cf. 8:30
Other texts that identify Allah as a makr include:
Are they then secure from Allah's deception (makra Allahi)? None deemeth himself secure from Allah's deception (makra Allahi) save folk that perish. S. 7:99
So they schemed a scheme: and We schemed a scheme (Wamakaroo makran wamakarna makran), while they perceived not. S. 27:50
The word for deception/deceiver/scheme is makr. The lexical sources define the term as:
Miim-Kaf-Ra = To practice deceit or guile or circumvention, practice evasion or elusion, to plot, to exercise art or craft or cunning, act with policy, practice stratagem.
makara vb. (1)
perf. act. 3:54, 3:54, 7:123, 13:42, 14:46, 16:26, 16:45, 27:50, 40:45, 71:22
impf. act. 6:123, 6:123, 6:124, 8:30, 8:30, 8:30, 10:21, 12:102, 16:127, 27:70, 35:10
n.vb. 7:99, 7:99, 7:123, 10:21, 10:21, 12:31, 13:33, 13:42, 14:46, 14:46, 14:46, 27:50, 27:50, 27:51, 34:33, 35:10, 35:43, 35:43, 71:22
pcple. act. 3:54, 8:30

LL, V7, p: 256 (Source)
 
"8 Again, the devil took him to a very high mountain and showed him all the kingdoms of the world and their splendor.9 "All this I will give you," he said, "if you will bow down and worship me."

Nasoma tofauti?
 
Sina access na jukwaa la dini sasa nmeona nitupie huku kwenye Intelligence.
Kuna some parts hua zinanivunja imani muda mwingine nikisoma kwenye bible which is actually a bad thing, sasa leo hili fungu limenichanganya akili

Deuteronomy 22:28-29New International Version (NIV)

28 If a man happens to meet a virgin who is not pledged to be married and rapes her and they are discovered,29 he shall pay her father fifty shekels[a] of silver. He must marry the young woman, for he has violated her. He can never divorce her as long as he lives

Ni wazi kabisa fungu linasema kua mwanaume akikutwa kambaka binti ambaye ni bikra basi atamlipa baba yake huyo mwanamke vipande vya silver alafu atatakiwa kumuoa na hatotakiwa kumpa talaka maisha yake yote.. Sasa hili fungu linachonichanganya, kwa nini mwanamke wa atu abakwe afu tena biblia itake aoane na huyohuyo aliyembaka, si ni mateso hayo ambayo binti hakujitakia, yani anakua kama analipa kosa ambalo hakulifanya tena for life? This is cruel! em nisaideni niondoe mashaka yangu..

Afu kama huna la maana la kuongea usijibu, i dont wish to see watu wanaanza kusema dini yao ndo ya kweli blah blah blah.. ulizaliwa tu huko usiwe mpiga kelele sana

Mwanamke kuingiliwa na kuolewa na mwanaume ni haki yake ya kuzaliwa ingekuwa ukatili kama angelazimishwa kufanya hivyo na mbwa dume
 
He was already there.

Nilikwambia nimegundua wewe ni Kilaza. Sasa soma ulichopost;

By Ishmael
"8 Again, the devil took him to a very high mountain and showed him all the kingdoms of the world and their splendor.9"All this I will give you," he said, "if you will bow down and worship me."

Hivi unajua kusoma kweli? Hivi unaelewa implication ya ulichopost?
 
Jibu lako umejiwekea mwenyewe. Kwi kwi kwi teh teh teh.

Faiza please make some efforts at least to know that Infidel is the title of the book where these quotes are taken from! Kwa kufanya hivi ulivyofanya ninahisi unataka kujifanya hazikutoshi! You dont have to defend your image herein the JF but i would like to think were are all here to defend our thoughts!
 
I wish some here could read the book titled MISQUATING JESUS .....THE STORY BEHIND WHO CHANGED THE BIBLE AND WHY by prof BART D. EHRMAN....the guy is expart of the bible...na hiki kitabu si cha kishabiki....wala mtu asikisome akidhan kitamsupport dini yake, imani au dhehebu lake....ni kitabu cha elimu ya kina yenye tafakuru kubwa....please dont read it kama hauko tayari kufikiria kitofauti....!!

Umenena sawasawa.
 
Faiza please make some efforts at least to know that Infidel is the title of the book where these quotes are taken from! Kwa kufanya hivi ulivyofanya ninahisi unataka kujifanya hazikutoshi! You dont have to defend your image herein the JF but i would like to think were are all here to defend our thoughts!

Na hilo ndilo jibu sahihi la hayo maandiko, ni infidel tu anaeweza kuandika kitu asichokijuwa kuhusu dini.

Mimi leo hii nikiongelea Ukristo ntaichambuwa Biblia na Wachungaji na siwezi kuchambuwa kingine kwani nnaelewa kuwa kuna wengi wanaojiita Wakristo lakini hawafuati Ukristo, kuna mafundisho ya Ukristo zaidi ya Biblia na wachungaji?

Huyo ni Infidel tu na hakuna zaidi. Mwenyewe amma kujijuwa amma kwa kughumiwa ndiyo maana kaweka hiyo title.
 
Nilikwambia nimegundua wewe ni Kilaza. Sasa soma ulichopost;



Hivi unajua kusoma kweli? Hivi unaelewa implication ya ulichopost?
You need to start reading and not mindless repeating words just like your clergy Muhammad.
 
You need to start reading and not mindless repeating words just like your clergy Muhammad.

Nimekwambia na ninakwambia tena kuwa huna depth ya kuangalia jambo. Hivi unajua IMPLICATION YA HIKI ULICHO-POST? Au ni copy and Paste? Kwamba Shetani alimsafirisha "Mungu Mkuu (1TITO 2:13)" toka point A hadi B? Na huko awali tumeambiwa kwamba Mungu alishamlaani huyu Mtoa Usafiri?"

By Ishmael
"8 Again, the devil took him to a very high mountain and showed him all the kingdoms of the world and their splendor.9"All this I will give you," he said, "if you will bow down and worship me."
 
Sijaona hao ma-expert wa bible ambao mleta mada anawahitaji wamsaidie.
 
Sijaona hao ma-expert wa bible ambao mleta mada anawahitaji wamsaidie.

Lazima atakuwa kajibiwa mahali, ila hii mijadala ya dini/ madhehebu huwa inakuwa mpaka inatoka kabisa nje ya mada, watu huwa "wanapigana" humu! Huwa nakaa pembeni na kuangalia watu wanavyotoana ngeu. Kwangu mimi imekuwa burudani.
 
Lazima atakuwa kajibiwa mahali, ila hii mijadala ya dini/ madhehebu huwa inakuwa mpaka inatoka kabisa nje ya mada, watu huwa "wanapigana" humu! Huwa nakaa pembeni na kuangalia watu wanavyotoana ngeu. Kwangu mimi imekuwa burudani.

Hao waliyojaribu kujibu ni kwa maono yao tu na ndiyo maana yakatokea mabishano kwa wenye maono tofauti,na hatimaye wametoka nje ya mada kabisa.
 
Mkuu Yesu alipowapa homework ya kufundisha wanafunzi wake aliwaambia wakawafundishe "kondoo" walio potea, hakuwaambia wakafundishe hata wasio kondoo "Israel tribes"

Yesu Mwenyewe hakuwahi kukanyaga nje ya maeneo ya Israel, Neno la Mungu limeanza kuhubiriwa nje ya Israel na Paul.

Mkuu,hivi wakati wa Yesu Israeli ilikuwepo kweli?

Na aliposema "kondoonwaliopotea wa nyumba ya Israeli" alikuwa anamaanisha nini?
 
Ndugu zangu,namchukia sana mtu anayedharau BIBLIA,hivi kila kitu ni kudharau,hadi Neno la MUNGU?,Ee MUNGU uturehemu.

acha mbwembwe zisizo na maana wewe, watu wanataka maelezo kutoka kwenye icho kitabu chako unasema dharau, kama ni kitakatifu kinatakiwa kisiwe na error na uzushi na dalili za ukandamizaj wa haki za binadam!!!! jibu hoja otherwise pita kushoto, hapa ni JF we dare to talk openly!!!
 
religious people are just plain stupid throwing missile after missile of fabrications writings from opposite books....... nilikua nataka kupata something sensible kutoka kwenye mada ya mletaj naona nihame post du!!!
 
Back
Top Bottom