Ma-expert wa bible msaada kidogo kunifafanulia hili

Ma-expert wa bible msaada kidogo kunifafanulia hili

Kwanza nikusahihishe mkuu,makabila yanayounda taifa la Israeli la leo ni Yuda na Benjamin pekee japokuwa hata hivyo hakusha ushahidi wa kuthibitisha hili na badala yake kuna ushahidi wa kuonesha hawa wala sio Wayahudi

Pamoja na hilo nilichokuuliza mkuu ni kama wakati wa Yesu kulikuwa na taifa linaloitwa Israel,na sijaona kama umenijibu hili,nakuomba unijibu tafadhali mkuu ...

Sikuuliza sababu ya makabila mengine kutokuwepo bali nilikuuliza maana ya ile kauli ya "kondoo waliopotea wa nyumba ya Israel",hii nayo hujanijibu mkuu!!


Sielewi unaposema Taifa unamaanisha nini? nachosema mimi ni kwamba kabila zingine hazikuwapo hilo eneo wakati Yesu anakuja. Ukiniuliza kama hizo Kabila ndio Taifa jibu langu ni ndio.
 
Sielewi unaposema Taifa unamaanisha nini? nachosema mimi ni kwamba kabila zingine hazikuwapo hilo eneo wakati Yesu anakuja. Ukiniuliza kama hizo Kabila ndio Taifa jibu langu ni ndio.

Kulikuwa na nchi inayoitwa Israeli wakati Yesu yupo hapa duniani?
 
pile kuhusu hilo jambo wenzetu zamani walikuwa wanaoa bikra kama msichana si bikra haolewi.


Ata sasa tunatakiwa kuoa mwanamke akiwa bikra na mwanaume akiwa hamjui mwanamke lkn kutokana dhambi kututawala tunaona ni sawa kuanza kuanza kufanya tendo la ndoa kabla ya ndoa kitu ambacho ndoa zetu zimekua ni batili...
 
We Jamaa bwana

Yaani unataka kusema Taifa la Israel halikwapo katika kipind ambcho Kiongozi wao ndo alikuja kujidhihirisha kwao? mbona sikuelewi?

Kati ya hayo hakuna kata kimoja bacho mimi nimeandika popote hapa,hayo ni maneno yako mwenyewe

Ninachotaka mimi ni ushahidi wa madai yako basi,uko wapi huo ushahidi?
 
Kati ya hayo hakuna kata kimoja bacho mimi nimeandika popote hapa,hayo ni maneno yako mwenyewe

Ninachotaka mimi ni ushahidi wa madai yako basi,uko wapi huo ushahidi?

Ushahidi ili ku prove nini? Ulitaka nikuambie kama Taifa la Israel lilikuwapo au vipi? nimekupa jibu ushahidi wa nini sasa?
 
Ushahidi ili ku prove nini? Ulitaka nikuambie kama Taifa la Israel lilikuwapo au vipi? nimekupa jibu ushahidi wa nini sasa?

Nataka unithibitishie kuwa Wakati wa Yesu kuwepo hapa duniani kulikuwa na taifa lililokuwa linaitwa Israeli,hivyo tu

Kama huna ushahidi si useme tu?
 
usivunjike imani ndugu biblia iko sawa kbisa ni kutafuta maelezo sahihi pale ambapo unaona huelewi kwanza ufahamu kuwa agano la kale lina mapungufu ndio maana likaja agano jipya bibkia yenyewe inasema hivyo pili kuhusu hilo jambo wenzetu zamani walikuwa wanaoa bikra kama msichana si bikra haolewi.kwa hiyo ndipo wanasema ikitokea amebakwa inabidi alipe faini na lazima amuoe maana huyo binti hata olewa na mtu yoyote kwa hiyo wakawekeana utaratibu huo na kumbuka enzihzo mambo ya magereza hayakuwepo kwa hiyo kila jamii iliamua ustarabu wake jinsi ya kuishi.

Mkuu naomba maelezo zaidi kuhusu mapungufu ya Agano la kale.
 
Humu watu wanang'ang'aniana kwa hoja balaa.nimepitia post mpaka usingizz zzz zzz!!.
 
Nataka unithibitishie kuwa Wakati wa Yesu kuwepo hapa duniani kulikuwa na taifa lililokuwa linaitwa Israeli,hivyo tu

Kama huna ushahidi si useme tu?

Lilikuwapo na ushahidi ni Muanzilishi wa Taifa hilo (YESU) kudhuru duniani rasmi ili kuweka mikakati ya kulitanua zaidi.
 
Lilikuwapo na ushahidi ni Muanzilishi wa Taifa hilo (YESU) kudhuru duniani rasmi ili kuweka mikakati ya kulitanua zaidi.

Wewe umejuaje hili?

Kuna mahali umesoma?

Au umeota usiku tu?

Mkuu wa chuo naona mzee wa mazuma kakosa ushahidi kama wakati wa Yesu kulikuwepo na taifa au nchi iliyokuwa inaitwa Israeli,unaweza kumsaidia?
 
Last edited by a moderator:
Wewe umejuaje hili?

Kuna mahali umesoma?

Au umeota usiku tu?

Mkuu wa chuo naona mzee wa mazuma kakosa ushahidi kama wakati wa Yesu kulikuwepo na taifa au nchi iliyokuwa inaitwa Israeli,unaweza kumsaidia?

Mapungufu ya ushahidi niliyokupa ni Yepi? au unadhani Yesu alikuja kudhurula huku duniani bila kuwa na wenyeji?
 
Wewe umejuaje hili?

Kuna mahali umesoma?

Au umeota usiku tu?

Mkuu wa chuo naona mzee wa mazuma kakosa ushahidi kama wakati wa Yesu kulikuwepo na taifa au nchi iliyokuwa inaitwa Israeli,unaweza kumsaidia?

Mkuu ukisoma katika Biblia inaonyesha ya kwamba Taifa la Israel lilikuwepo kipindi cha Yesu... na Unajua Bwana Yesu alitumwa katika nyumba ya Israel...

Mathayo 21:43 Kwa sababu hiyo nawaambia, Ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu, nao watapewa taifa lingine lenye kuzaa matunda yake.

Yohana 18:35 Pilato akajibu, Ama! Ni Myahudi mimi! Taifa lako na wakuu wa makuhani ndio waliokuleta kwangu. Umefanya nini?
 
Back
Top Bottom