displayname
JF-Expert Member
- Feb 15, 2013
- 1,972
- 1,085
Nuru ni matendo Mema na Ethics za kufuata matendo ya MUNGU while giza ni matendo maovo na yakudhoofisha watu wengine..?kwa maana hii Wema na ubaya haviwezi kulandana hata kidogo.
Ni kama AMANI na VITA vilivyo never co-exist.