Nkwesa Makambo
JF-Expert Member
- Aug 26, 2011
- 4,763
- 1,319
Usimuwekee Yesu Maneno mkuu. Yesu hakusema YEYE ndio aliruhusu kupitia Mussa. Tuwe makini tusilazimishe mambo.
[7] They say unto him, Why did Moses then command to give a writing of divorcement, and to put her away? [8] He saith unto them, Moses because of the hardness of your hearts suffered you to put away your wives: but from the beginning it was not
Nimeona ugumu WA mjadala kutokana na maelezo Kama haya. Yesu ni Mungu alikuwa anajua nini Musa alisema na kwanini wakati MUSA alikuwepo maelfu ya miaka nyuma.
Yesu ndiye alimtuma Musa kwa kuwa Musa alikuwa mjumbe WA Mungu
Yesu alijibu kadri alivyoulizwa na wale waliokuwa wanaita sheria ya Musa ulitaka aseme sio MUSA ni Mimi ndiyo uelewe yeye ndiye alikuwa nyuma ya Maamrisho ya Musa au kwa uelewa wako MUSA alikuwa na sheria zake mwenyewe ?