Ma-TO walipofunikwa na Sylivester Mwageni (True mathematician)

eeee bhana uzi huu umeniacha na maumivu makubwa sana nkikumbuka nlipokuwa nasoma primary teacher mwenyewe kwenye mathematics alikua ananiachia class yeye kakaa pemben kusikiliza pindi. Maskin nlipoangukia ktk Sera za kujaza shule za kata maisha yangu na maths ambayo ilikua kwenye damu nlijikuta nakosa msaada na has a coz lugha ndo iliniuwa nkajkuta nko kwenye kaz ngumu, nakumbuka kulikuwa na walimu 3 na wote,ni arts form 2 nkajikuta nazingusha kwenye mathematics japo kuzingusha huko kulisababishwa na mambo meng ikiwemo majukumu ya kifamilia ya kuuguza takribani miezi 3 mfururizo nikiwa form2 kuanzia mwez was 6 had 8 mwishon iliyopelekea hata, walimu na wanafunz wenzangu kujua shule mi back lakn nlikua naumia sana lakin nlipofika form3 Tatar nlikua najua lugha yao ile korof nikajitahid kujisomea na rikizo kutafuta japo kdigo vijiwalimu kinsaidia nashukulu nlitoka na D ya hisabat na n faraja yangu kua tangia form 4 ya kwanza ambao walimaliza 2010 nami kumaliza 2012 had I Leo rekod yangu haijavunjwa hats km cku hz mwalimu wa hisabat yupo,.. short ilikua hvyo xo nimeumia sana kwa Uzi huo mkuu
 
historia inaanza 2009 mimi nipo mwaka wa 3 Medical school ! naona thread inawahusu BRN Zaidi.. napita.

P.S - Inaitwa FEZA sio FEDHA

SMH...
 
Kuna jamaa alikua anaitwa Brighton Lema kamaliza six 2012 Tabora Boys alikua akijitapa sana kuwa atamkalisha Gwamaka..Vipi dondoo zake
 

Anafundisha Ruaha Catholic University,though aliniambia anataka aende china akasome,huyu mtabe alipewaga cheti na bodi ya hesabu
 
ukisema kijana mwenye phd mdogo tz unakosea

yy ni kijana mdogo kwenye hiko chuo cha uswis kua mtz aliepata phd

tz kuna vijana wadogo tu wameunga phd
all in all jamaa yuko poah sana nilimuacha akiwa bado na master ud alikua akitusimamia UE
 
ticha anajisahau marking skim yake anaisahisha anajkuta amepata 36, wengne tunapata 4 bt nyuma kuna msururu kibao umeupita, dah ctak kuziskia hz
 
historia inaanza 2009 mimi nipo mwaka wa 3 Medical school ! naona thread inawahusu BRN Zaidi.. napita.

P.S - Inaitwa FEZA sio FEDHA

SMH...
Hata wewe ni BRN na inaonekana

1. Slide ruler hukutumia

2. Vine and Rees (a.k.a) hukusoma wewe na labda na wewe ni kizazi cha madesa

3. Inaonekana wewe hakuwahi kufanya dissection ya wale panya weupe kutoka mzumbe

4.Inaonekana hata wakati unasoma hujawahi kusafirishwa na serikali kwa warrant huku ukipewa mkate wa kula njiani
 
Zawadi Mdoe alikua kichwa sana. Nahisi anasoma masters sasa hivi maana kamaliza degree ya kwanza udsm akisomea chemical and industrial engineering akipata GPA ya 4.9. Deadboy endelea kutupa hizi stori za best students Kama unazo
mmmmmmmh
 
Hivi Log na Mwaramy walisoma mwaka mmoja AZANIA?
Sijui mwaramy nani maana darasa letu lilikuwa na mwaramy wengi
Si unajua Azania form 4 wanafunzi 486 tulimaliza mwaka ule
Afu watu wanapenda kutumia aka kwa mfano log ni aka ila anaitwa Edward benedict ila tangu form one au two maarufu kwa hilo Nina
Neo nikahisi atakuwa yeye na nikaon niulize
 


1- nimetumia

2- plant & animal biology - nimetumia

3- nimefanya - panya, mende na chura ...

2009 niko medical school mwaka 3 piga hesabu six nimemaliza lini
 
Aisee umenikumbusha mbali sana... anyway mi nilisoma Additional mathematics kipindi hicho,huyo Jamal nilimpita darasa moja lakini tulisoma tuition moja kwa mwalimu anaitwa Log man jirani kabisa na makao makuu ya Yanga...
All in all Jamal alikua very talented,maisha yanaenda kasi sana sijui yuko wapi kwa sasa... Binafsi nilimuhofia licha ya kumpita darasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…