Alonso14
JF-Expert Member
- Aug 6, 2017
- 1,785
- 1,817
Vyote hasa hayo maeneo ya ukonga ndyo ninayokaa mkuuMkuu kitu gani hapo kimekuaminisha labda tunafahamina? AIRWING? MINAZI MIREFU?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vyote hasa hayo maeneo ya ukonga ndyo ninayokaa mkuuMkuu kitu gani hapo kimekuaminisha labda tunafahamina? AIRWING? MINAZI MIREFU?
Ndo kawa tozi hivi, hivi Chuo alipiga wapi na alisoma nn?![]()
Jamali Juma aka BABU
Mkuu huyu hapa yupo FB Sylvester MwageniVp hiyo Sylivester huko wapi sasa
Mtoto mdogo ila hatari sanaaaa afu kama yupo mbele hivi maeneo hayo![]()
Jamali Juma aka BABU
Umenichekesha sana Mkuu.[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] .Usijali mkuu.... sisi tuliopata pass huu uzi tunaupitia tukiwa ndani ya shuka [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Kasoma civil nakaona haimsaidii kaamua kufundisha tuuBABU ashaanza MASTERS
Kumbe Martin ni t.o??kuna kazi moja nimefanya naeLet' s conclude, TO wa mda wote ni Dr. Martin chegele ambaye anahadhiri( UDSM), mshauri wa uchumi mkubwa ajaye.
[emoji23][emoji23][emoji23]Mm najiona ndio gwiji dunian Hgl division 1-8 bila walimu+ chakula kibaya+shule mbaya. Hapo akina Chegere wenu hawaniwezi. Ninge compete nao kwenye mazingira sawa, Nina uhakika ningewaburuza sana.
Kasoma fani gani?Hajasoma CIVIL
https://www.facebook.com/elias.kihombokuna mtu anaitwa elias kihombo, ni to wa form six,skumbuki mwaka gan ila naskia kuna maajabu kayafanya mpk sasa naskia bado,wakati nipo advance 2015 alikuja school kwetu, alikua anatunga kitabu chake cha physics, na alikua anapiga petroleum udsm, ana mikasa huyu jamaa c mchezo.
Deadbody kama una story yake mkuu ishushe, maana naskia alikua anawadharau hadi maprofesa wanaomfundisha, kwamba hawajui physics.