Ma-TO walipofunikwa na Sylivester Mwageni (True mathematician)

Ma-TO walipofunikwa na Sylivester Mwageni (True mathematician)

ma TO ndio nini? sisi wengine maeducanist wa miaka kedaa
 
Naandaa data za T.O 1993 Mzumbe anaitwa LUSEKELO...Nikipata naiman mzigo utakuwa HEWANI JF

Lusekelo T O form six 2002 Mzumbe olevel meta secondary mbeya kama sikosei huyu jamaa alitamba sana enzi hizo kuna kipindi alikuwa ameajiliwa na Vodacom Tanzania sijui kwa sasa yuko wapi?
 
Jamaa kanifundishwa tuition pale pacha learning center dadeq alikuwa ni nyoko

Mkuu uliposema ' PACHA ' umenikumbusha mbali sana tena kuliko watu wote humu waliowahi nikumbusha mbali .PACHA nilisoma TUTION nikiwa darasa la sita wakati nawsoma " AIRWING PRIMARY" pale Banana,shule ambayo tulikuwa tunasoma na T.O "MUHAGACHI CHACHA".Pacha ni Pembeni ya Reli kuangaliana na "FREETIME RESORT" .

Kitambo sana !
 
Ha ha ha ha ha huyu jamaaa namfaham in details alikuwa mwalimu wangu Ruaha catholic university,jamaa akiingiia class kwanza kabla ya kufundisha anaonyesha vyeti vyake kwenye projector kuanzia 4M4 mpaka master,hakuna B ni B+ na A,akimaliza kuonesha anatuambia kwenye somo langu ukipata C basi jua kuwa una Sup
Hahahahaha jamaa wa MBEYA ambaye alifeli DARASA la 7
 
Mkuu uliposema ' PACHA ' umenikumbusha mbali sana tena kuliko watu wote humu waliowahi nikumbusha mbali .PACHA nilisoma TUTION nikiwa darasa la sita wakati nawsoma " AIRWING PRIMARY" pale Banana,shule ambayo tulikuwa tunasoma na T.O "MUHAGACHI CHACHA".Pacha ni Pembeni ya Reli kuangaliana na "FREETIME RESORT" .

Kitambo sana !
Usikute tunafahamiana
 
Angeendelea na jina lake la shule ya msingi mtongori ingependeza zaidi. Kipindi hicho tuko shule ya msingi tunafanya mitihani kila jumamosi vingunguti mtongori alikua noma . Jamaa ni genius
Dick bila shaka wewe nakujua,si umesoma KIPAWA?
 
Back
Top Bottom