Ma-TO walipofunikwa na Sylivester Mwageni (True mathematician)

Ma-TO walipofunikwa na Sylivester Mwageni (True mathematician)

10922774_842254492511171_2381431064225870026_n.jpg

Jamali Juma aka BABU
Ndo kawa tozi hivi, hivi Chuo alipiga wapi na alisoma nn?
 
Mm najiona ndio gwiji dunian Hgl division 1-8 bila walimu+ chakula kibaya+shule mbaya. Hapo akina Chegere wenu hawaniwezi. Ninge compete nao kwenye mazingira sawa, Nina uhakika ningewaburuza sana.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
kuna mtu anaitwa elias kihombo, ni to wa form six,skumbuki mwaka gan ila naskia kuna maajabu kayafanya mpk sasa naskia bado,wakati nipo advance 2015 alikuja school kwetu, alikua anatunga kitabu chake cha physics, na alikua anapiga petroleum udsm, ana mikasa huyu jamaa c mchezo.
Deadbody kama una story yake mkuu ishushe, maana naskia alikua anawadharau hadi maprofesa wanaomfundisha, kwamba hawajui physics.
 
kuna mtu anaitwa elias kihombo, ni to wa form six,skumbuki mwaka gan ila naskia kuna maajabu kayafanya mpk sasa naskia bado,wakati nipo advance 2015 alikuja school kwetu, alikua anatunga kitabu chake cha physics, na alikua anapiga petroleum udsm, ana mikasa huyu jamaa c mchezo.
Deadbody kama una story yake mkuu ishushe, maana naskia alikua anawadharau hadi maprofesa wanaomfundisha, kwamba hawajui physics.
https://www.facebook.com/elias.kihombo
 
Back
Top Bottom