Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Usijali mkuu.... sisi tuliopata pass huu uzi tunaupitia tukiwa ndani ya shuka [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Oiii hawa jamaa kusoma ni spirit [emoji23] [emoji23]Uyo martin anafuatilia ata Mpira kweli..?manake izo sifa sasa...inaonyesha namba Moja ndo tabia take kuanzia vidudu had I phd
Anaitwa Mwarami Shabani..Sijui mwaramy nani maana darasa letu lilikuwa na mwaramy wengi
Si unajua Azania form 4 wanafunzi 486 tulimaliza mwaka ule
Afu watu wanapenda kutumia aka kwa mfano log ni aka ila anaitwa Edward benedict ila tangu form one au two maarufu kwa hilo Nina
Neo nikahisi atakuwa yeye na nikaon niulize
Elewa kwanza maana ya T.ONa mimi nilikuwa T.O wa shule yetu ya Kata miaka hiyo ya 2000's
Hiyo picha inaonesha nini sasa?ELIAS KIHOMBO kasema niweke hii picha ili muache kumdis
![]()
Mkongwe uyo , atakuwa 2001 or 2002.Mkuu katika List ya AZANIA olev 2004 Hilo jina halipo
Mkongwe uyo , atakuwa 2001 or 2002.
Nachokumbuka alipata math B, addition Math A.
Kwa O'level alikuwa mzuri zaidi kwenye Physics ambayo pia alipata A.
A level alikuwa mzuri wa math alipata A na masomo mengine D na kupelekea kupata 1.9
You cant be serious.Inaonyesha MBUYU unaelea juu ya MAJI
aandike s.oElewa kwanza maana ya T.O
Tanzania One
Dah kwanza nikuombe msamaha mkuu maana nilichukulia swali lako kijuu juu tu.Dah umenikumbusha Millenium Problems,,hawa ni wameza maelezo ya kwenye vitabu mkuuYou cant be serious.
Nimekuuliza kwa nia njema kabisa kuelewa hao ma genius wetu labda wametoa solution ya P versus NP, Hodge Conjecture, Riemann hypothesis, Yang-Mills existence and smoothness au Birch and Swinnerton-Dyer conjecture, labda wakaificha katika picha kwa steganography.
But what do you know about that?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mm najiona ndio gwiji dunian Hgl division 1-8 bila walimu+ chakula kibaya+shule mbaya. Hapo akina Chegere wenu hawaniwezi. Ninge compete nao kwenye mazingira sawa, Nina uhakika ningewaburuza sana.
Kwa nini hawa wetu wanameza maelezo ya kwenye vitabu tu na kina Perelman wana solve Millennium problems?Dah kwanza nikuombe msamaha mkuu maana nilichukulia swali lako kijuu juu tu.Dah umenikumbusha Millenium Problems,,hawa ni wameza maelezo ya kwenye vitabu mkuu