Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,404
- 10,900
Dental formula inaakisiBro Huyo ni Dada ake anaitwa Bupe njobelo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dental formula inaakisiBro Huyo ni Dada ake anaitwa Bupe njobelo
Soon kuna kabinti katamnyang'anya hicho cheoKwa sasa ni Dr Martin Chegere,phd holder mdogo kuliko wote tz
Huyu Jamaa O level alianza shule ya Kata Lupembe,Akazinguana Na Mkuu kipindi hicho anaitwa Mhapa.Alioozinguana naye akaona isiwe shida akahamia shule ya Sekondari makambako.Mhapa naye akahamia Makambako Sec,Elias kuona mbaya wake kaja akaamua kukimbilia Tosamaganga.Alimaliza pale 2003 Form akapata. Div 1pts 14.Form Six kamaliza hapohapo Tosamaganga akawa TO 2006kuna mtu anaitwa elias kihombo, ni to wa form six,skumbuki mwaka gan ila naskia kuna maajabu kayafanya mpk sasa naskia bado,wakati nipo advance 2015 alikuja school kwetu, alikua anatunga kitabu chake cha physics, na alikua anapiga petroleum udsm, ana mikasa huyu jamaa c mchezo.
Deadbody kama una story yake mkuu ishushe, maana naskia alikua anawadharau hadi maprofesa wanaomfundisha, kwamba hawajui physics.
Nadhani hao Maprofesa wanaomfundisha walimuonesha kuwa wao ni Maprofesakuna mtu anaitwa elias kihombo, ni to wa form six,skumbuki mwaka gan ila naskia kuna maajabu kayafanya mpk sasa naskia bado,wakati nipo advance 2015 alikuja school kwetu, alikua anatunga kitabu chake cha physics, na alikua anapiga petroleum udsm, ana mikasa huyu jamaa c mchezo.
Deadbody kama una story yake mkuu ishushe, maana naskia alikua anawadharau hadi maprofesa wanaomfundisha, kwamba hawajui physics.
Hivi ilikuaje Akadisco?Tatizo ubishoo na utoz mwingi ndo maana Ali disco telecom akaja kuingia kwenye petroleum ila vitu kichwani anavyo kiukweli
sidhani mfano TO utamkuta anasoma MD Muhas ambapo mtu wa mwisho darasani alichukuliwa na points 6 PCBHivi Hawa Ma TO wakienda chuo madarasa yao si wanachanganywa tu Na Vilaza? Vipi Huwa hawapotezi viwango vyao kweli?
Bado anafuga nywele?Duuh kwanini sasa? Mr.manywele hahahaa
Ana mikosi Na UDSMKIHOMBO ana mkosi na kupata degree maana hata PETROLEUM HAKUMALIZA
Wengine imebaki historia tulitaka kufurukuta lkn tukaishia kuwa Na marks Za D tu.Amesha jibu kuwa yeye ni mshangiliaji tu...japo najua kabisa nae zimo maana hizi mambo tunao zipenda wengi tuko vizuri upstairs
Kuna Mwalimu aliwahi uliza swali kwenye mambo ya Measurement,Kuwa Je Mtu aliyepata alama 90 Na mwingine 45 ina maana huyu aliyepata 90 ana akili mara mbili ya huyu wa 45?kuna yeyote kati ya hao ma-TO aliyefanya jambo lolote katika teknolojia ya sasa?,au ni kupata A tu ndio akili?
alichapwa kisa nini mkuu??Siyo T.O huyu kiumbe ni hatari haijawahii tokea.jamaa amesoma na bro kachapwa Sana kisa huyo mtu
Wewe jamaa acha Porojo...sidhani mfano TO utamkuta anasoma MD Muhas ambapo mtu wa mwisho darasani alichukuliwa na points 6 PCB
in real life ndo ipo ivi, consultants ( au contractors ) wengi , clients wao ni wauza ngada na money launderers walioishia la nneAcha wawe ma TO waje wanifanyie kazi kwenye kampuni yangu....
NB :Mi darasa la nne.
Porojo ni ipi hapo?Wewe jamaa acha Porojo...
kwa mfano huyo silvestar kama uwezo upo si bora akafanya hayo maswali ya millenium problems.Kwa nini hawa wetu wanameza maelezo ya kwenye vitabu tu na kina Perelman wana solve Millennium problems?
Clearly hawa wetu nao ni vipanga mpaka kufikia kuwa T.O.
Tatizo ni nini?
1.Kuna uwezona uwezo. Inawezekana hawa wanaonekana wakali katika muktadha wa Bongo,lakini wakienda Kombe la Dunia wanafungwa kama Taifa Stars kwenye mechi za Kimataifa. Ujue Taifa Stars nao ni Tanzania One wale katika uwanja wa mpira.kwa mfano huyo silvestar kama uwezo upo si bora akafanya hayo maswali ya millenium problems.
1.Kuna uwezona uwezo. Inawezekana hawa wanaonekana wakali katika muktadha wa Bongo,lakini wakienda Kombe la Dunia wanafungwa kama Taifa Stars kwenye mechi za Kimataifa. Ujue Taifa Stars nao ni Tanzania One wale katika uwanja wa mpira.
2. Inawezekana wanaweza lakini hawajapewa nafasi. Wapewenafasi wajaribu, hata wakishindwa nitawaheshimu kamawaliojaribu wakashindwa, kama Hasheem Thabeet na NBA.
3. Inawezekana haya matatizo yanatumiamuda mrefu sana kuyamaliza, inatakiwa mtu atoe maisha yake yote professionally kutafuta kuyatatua, na sisi hatuna mazingira ya kuruhusu hilo.
Ukisoma maisha ya mtu kama Perelman alivyotatua Poincare's Conjecture utaona huyu jamaa kama ali give up kila kitu katika maisha yake akaamua yeye atafanya hesabu tu, aka specialize kutafuta solution ya Poincare's Conjecture.
Halafu kumalizia kabisa uchizi wake, alivyopata solution akakataa zawadi ya hela kibao.
Mchizi kaandika proof, walio i verify wametumia miaka mitatu kui verify kwamba iko sawa na haijakosewa!
Grigori Perelman - Wikipedia
![]()
Grigori Yakovlevich Perelman (Russian: Григо́рий Я́ковлевич Перельма́н, IPA: [ɡrʲɪˈɡorʲɪj ˈjakəvlʲɪvʲɪtɕ pʲɪrʲɪlʲˈman] (listen) /pɛrɪlˈmɑːn/ perr-il-MAHN; born 13 June 1966) is a Russian mathematician. He has made contributions to Riemannian geometry and geometric topology.
In 1994, Perelman proved the soul conjecture. In 2003, he proved (confirmed in 2006) Thurston's geometrization conjecture. This consequently solved in the affirmative the Poincaré conjecture.
In August 2006, Perelman was offered the Fields Medal[1] for "his contributions to geometry and his revolutionary insights into the analytical and geometric structure of the Ricci flow", but he declined the award, stating: "I'm not interested in money or fame; I don't want to be on display like an animal in a zoo."[2] On 22 December 2006, the scientific journal Science recognized Perelman's proof of the Poincaré conjecture as the scientific "Breakthrough of the Year", the first such recognition in the area of mathematics.[3]
On 18 March 2010, it was announced that he had met the criteria to receive the first Clay Millennium Prize[4] for resolution of the Poincaré conjecture. On 1 July 2010, he turned down the prize of one million dollars, saying that he considered the decision of the board of CMI and the award very unfair and that his contribution to solving the Poincaré conjecture was no greater than that of Richard S. Hamilton, the mathematician who pioneered the Ricci flow with the aim of attacking the conjecture.[5][6] He also turned down the prestigious prize of the European Mathematical Society.[7]
Kukimbiza kimasomo Wamarekani si kitu hatari. Mbona hata mimi si T 2000 lakini Wamarekani nimewakimbiza mpaka mwalimu kanikataza nisije kwenye mtihani wa mwisho, jinsi nilivyochachafya darasani na kwenye coursework (philosophy class by the way, si math). Mpaka sikuamini nikamuuliza atanipa maksi gani? Akasema wewe ni A tu. Ulivyofanya ni level ya masters wakati unasoma bachelor.unajua hata mm najiuliza hivi hawa ma T.O wetu wakienda top universities huko marekani, huko nako wanakimbizaga kimasomo? Al-Watan