niester
JF-Expert Member
- Jul 31, 2012
- 254
- 111
Kaka umeongea neno kabisa, nikakubaliana na wewe hawa Ma-TO wanaspend more time than ana average student coz wanajua kabisa wanataka nini.Hawa ma T.O wanasoma sana usiwaone hivyo, on average T.O anasoma masaa 10 kila siku, sometimes they spend sleepless nights kisa kusoma, mm naamini kuna wanafunzi wengi tanzania wana uwezo mkubwa wa kiakili wa kuingia top 10 kitaifa/au kupata div 1 point 7 "O" level, sema ni wavivu kusoma Super Sub Steve