Dada alisoma hkl kifungiro ila ali disco udsm lawHuyo dada hakulingana na Mwizarubi.
Halafu hakusoma Science ,alisoma HKL
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dada alisoma hkl kifungiro ila ali disco udsm lawHuyo dada hakulingana na Mwizarubi.
Halafu hakusoma Science ,alisoma HKL
Umesema point mkuu chukuwa like oyoo...Hawa ma T.O wanasoma sana usiwaone hivyo, on average T.O anasoma masaa 10 kila siku, sometimes they spend sleepless nights kisa kusoma, mm naamini kuna wanafunzi wengi tanzania wana uwezo mkubwa wa kiakili wa kuingia top 10 kitaifa/au kupata div 1 point 7 "O" level, sema ni wavivu kusoma Super Sub Steve
mm mwenyew TO ila mvivu kusomaHawa ma T.O wanasoma sana usiwaone hivyo, on average T.O anasoma masaa 10 kila siku, sometimes they spend sleepless nights kisa kusoma, mm naamini kuna wanafunzi wengi tanzania wana uwezo mkubwa wa kiakili wa kuingia top 10 kitaifa/au kupata div 1 point 7 "O" level, sema ni wavivu kusoma Super Sub Steve
Umeongea ukweli mtupu.Kuwa kuna watu Wana uwezo mkubwa sema mambo mengi Na hawataki kujitaabisha.Hata mie naamini O level Ningejitaabisha vya kutosha huenda ningepata kijiti cha Single Digit.Hawa ma T.O wanasoma sana usiwaone hivyo, on average T.O anasoma masaa 10 kila siku, sometimes they spend sleepless nights kisa kusoma, mm naamini kuna wanafunzi wengi tanzania wana uwezo mkubwa wa kiakili wa kuingia top 10 kitaifa/au kupata div 1 point 7 "O" level, sema ni wavivu kusoma Super Sub Steve
Bila kusoma Top Ten huingiii mkuu,wafuatilie vizuri ratiba zao waliowahi kuingia Top Ten utagundua licha ya vipaji vyao walikuwa smart katika kusoma.Acheni kujidanganya na kutoa visingizio visivyokuwa na sababu. Kweli kusoma might be the case for their flying color passmarks, lakini kumbuka pia kuna kuelewa. Kwa maana unaweza kesha na usielewe. Na kuna baadhi nawafahamu hawakuwa wasomaji kiviile but matokeo yao yaliwaingiza top 10.
Usidanganywe, those T.O and top 10 dudes have something special in them. Nimepata bahati ya kuishi nao baadhi maisha ya shule na ninachoweza sema ni kuwa wapo vizuri in what they do.
Kuna mshikaji aliingia Top Ten O level,Akaenda Mzumbe,Advance hakuwepo Top Ten Japo alifanya vizuri.Jamaa alikuwa na Interest Na Computer Toka kitambo alisema naenda Kusoma Computer Science UDSM .Alifanya hivyo.Alivyomaliza Chuo alifanyafanya kazi kidogo chuo wakati watu wanahangaika Na Ajira ye akasema siwezi Tunis maarifa yangu kiasi hiki halafu nikaendelea kulipwa hela kiduchu.Jamaa akaacha kazi chuo akasema staki tena kuajiriwa.Mpaka Leo namuona tu mtaani sijui hata ishu anayofanya Ila naona jamaa maisha yanamuendea vizuri mambo ni mazuri kwelikweli.Kamuachisha kazi mke wake alikuwa mikoa ya mbali huko.Jamaa hii Dunia anazunguka kama Mimi ninavyotumia 650 kwenye mwendokasiMbali na uTO wapo wapi na wanafanya nn kupitia ugenius wao au ndo imebaki story tu za uTO???
Kuna MaTO wengine wa Nyanja nyingine kama akina Bakhresa.Mbali na uTO wapo wapi na wanafanya nn kupitia ugenius wao au ndo imebaki story tu za uTO???
Mimi ningekuwa TO we ungekuwa wa PiliWish I could turn back the hands of time ili niwe TO
Ndo ilivyo hivyo OT mwisho wake huwa ni tofauti sana na matarajio ya wengi wachache sana wanapita njia ile ile waliyoanza nayoKuna MaTO wengine wa Nyanja nyingine kama akina Bakhresa.
By the way unataka maTO wafanye nini wakati hakuna tena Madesa ya kubukua/Kukremu? TO mpe Desa atakuonyesha ye ni Nani.Kusema afanye something special hiyo ni another case.
We hujawahi ona kwenye Shule za mchepuo wa Sayansi Na Sanaa watu wanaokuwaga watundu wa utundu wa ufundi Huwa ni wa Arts? Unakuta shule ina wanafunzi wa Arts Na Science lkn wachawi wa vitu vya Electronics ni from arts?
2006 t.okuna mtu anaitwa elias kihombo, ni to wa form six,skumbuki mwaka gan ila naskia kuna maajabu kayafanya mpk sasa naskia bado,wakati nipo advance 2015 alikuja school kwetu, alikua anatunga kitabu chake cha physics, na alikua anapiga petroleum udsm, ana mikasa huyu jamaa c mchezo.
Deadbody kama una story yake mkuu ishushe, maana naskia alikua anawadharau hadi maprofesa wanaomfundisha, kwamba hawajui physics.
tupe story kidogo mkuu, it seems that you have something to share with us..Nilichelewa sana kujijua kuwa kamwe nisingekaa niwe genius.
Ila nilivyokutanaga na vichwa kama hivi, niliishia kushukuru Mungu kwa pumzi aliyonipa na kuacha kabisa kuota kupiku njemba hizi.
Umenikumbusha mbaali sana.
Umeongea ukweli mtupu.Kuwa kuna watu Wana uwezo mkubwa sema mambo mengi Na hawataki kujitaabisha.Hata mie naamini O level Ningejitaabisha vya kutosha huenda ningepata kijiti cha Single Digit.
Ila ndiyo hivyo,mara kuandika Barua kwa mademu,mara kuwaza ifike siku ya mpira ukacheze.Unasoma kwa kugusa gusa tu.
Darasani kwetu aliyetuburuza O level Na aliingia Top Ten jamaa alikuwa anasoma balaa Na hapotezi muda japo pia kichwa chake kilikuwa kimebarikiwa maana alikuwa anajua vitu vingi kasoro kucheza mpira ndio ilikuwa shida..
Ila mambo ya kucheza Piano,kujua lugha (English,kiitaliano,French Na akaanza kujifunza kijerumani ) haikuwa tatizo kwake.
Ila tukubali pia wengine hata wasome vipi wataishia kupata marks Za kawaida.Kuna washikaji nawajua wazee wa kubundi.Wanasoma mpaka unawaonea huruma lkn mwisho wa siku wanapata marks Za kawaida tu Na wengine nusura combinations zigome.
Msuli tembo mafanikio Sisimizi
Acheni kujidanganya na kutoa visingizio visivyokuwa na sababu. Kweli kusoma might be the case for their flying color passmarks, lakini kumbuka pia kuna kuelewa. Kwa maana unaweza kesha na usielewe. Na kuna baadhi nawafahamu hawakuwa wasomaji kiviile but matokeo yao yaliwaingiza top 10.
Usidanganywe, those T.O and top 10 dudes have something special in them. Nimepata bahati ya kuishi nao baadhi maisha ya shule na ninachoweza sema ni kuwa wapo vizuri in what they do.
hao ma T.O unaosema hawakuwa wasomaji kivile, labda wakati wanasoma ww haupo, au walikudanganya kuwa hawasomi ili uwaone ma-genius, necta bila kusoma sana huwezi pata div 1 ya single digit asilani Complex