Doubleg Malafyale
JF-Expert Member
- Feb 17, 2017
- 2,733
- 3,561
Hapana Huyo hakumaliza mwaka mmoja na log nadhani alikuwa nyuma yetu au kabla yetu kama anasema alisoma Azania o levelAnaitwa Mwarami Shabani..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana Huyo hakumaliza mwaka mmoja na log nadhani alikuwa nyuma yetu au kabla yetu kama anasema alisoma Azania o levelAnaitwa Mwarami Shabani..
Labda 2006 nakuendelea au kabla ya hapo ila darasa hatukuwa na huyo mtuMkuu katika List ya AZANIA olev 2004 Hilo jina halipo
Basi ni mhuni tuNilisoma Adv kwake VICTORIA ACADEMY akatuambia alimaliza 6 PUGU 2006 akapata 1.7
PHYSICS-B
CHEM-D
MATH-A
Ila olev alituambia alipiga AZANIA div 1.9 akiwa na "A" 5 ikiwemo PHYSICS,CHEM,MATH,AD MATH,BIO....
Ila sana nikimwangalia katika matokeo ya 2003 azania na 2006 pugu simuoni kabisa
Kukimbiza kimasomo Wamarekani si kitu hatari. Mbona hata mimi si T 2000 lakini Wamarekani nimewakimbiza mpaka mwalimu kanikataza nisije kwenye mtihani wa mwisho, jinsi nilivyochachafya darasani na kwenye coursework (philosophy class by the way, si math). Mpaka sikuamini nikamuuliza atanipa maksi gani? Akasema wewe ni A tu. Ulivyofanya ni level ya masters wakati unasoma bachelor.
So nina hakika mfumo wa masomo wa Tanzania unabana watu kibao ambao wakija Marekani, the average American student anakuwa nyuma ya tge average Tanzanian.
Tatizo ukitoka kwenye average uende kwa vipanga huko.
Hukibsina hakika sana.
Ila huenda hawakuwa combination moja siajabu huyu binti alikuwa H kunani uko hahaha![]()
Huyu Binti ndio anaitwa IMMACULATE MOSHA aliyekuwa wa kwanza FORM 4 ,2009 akifuatiwa na GWAMAKA..Binti alipohojiwa TBC akasema kama GWAMAKA akinipita FORM 6 nitakubali anioe bure kabisa.Matokeo ya 6 yeye na GWAMAKA wote walipata one ya 4 na wote wakaingia TOP 10 ila IMMACULATE wa 5 na GWAMAKA wa 8🙂🙂🙂🙂🙂🙂
Ahsante mkuu2007
dr chegere si huyo kaongoza mpaka Phd swedenunajua hata mm najiuliza hivi hawa ma T.O wetu wakienda top universities huko marekani, huko nako wanakimbizaga kimasomo? Al-Watan
Huyu jamaa angekuwa Na majivuno kama Mwigulu tusingekunywa maji,Maana kila siku kelele Za mchumi first class zisingeishadr chegere si huyo kaongoza mpaka Phd sweden
Mwigulu Nchemba unaitwa HukuHuyu jamaa angekuwa Na majivuno kama Mwigulu tusingekunywa maji,Maana kila siku kelele Za mchumi first class zisingeisha
TO wa 2015 alisoma PCB A-level sasa yupo MUHAS 3 yrsidhani mfano TO utamkuta anasoma MD Muhas ambapo mtu wa mwisho darasani alichukuliwa na points 6 PCB
Wengine imebaki historia tulitaka kufurukuta lkn tukaishia kuwa Na marks Za D tu.
Vichwa vibovu tu hakuna cha uvivu.labda ulikuwa mvivu wa kusoma Super Sub Steve
Vichwa vibovu tu hakuna cha uvivu.
Mwarami ni yupi maana nina school mate wangu mmoja alikuwa mzur academically japo hakunifikia,alisoma azani olevel advance mzizima ni mwembamba nahc anakaa mbagalaLog boy..
Jamaa alikuwa anamkubali sana babu .
sema nae yko vizuri pure ila anabore kumdiss dis mwarami mda wote.
Boss nawe ulipita yale maeneo kumbe. .??
Hiyo ID haitumii kwa muda mrefu sasa, huenda anayo nyingine ya kupigia chabo hapaMwigulu Nchemba unaitwa Huku
pocbl atakuwa huy jamaa anapigaga pind maarifa tandika yuko na kina LingoMwarami ni yupi maana nina school mate wangu mmoja alikuwa mzur academically japo hakunifikia,alisoma azani olevel advance mzizima ni mwembamba nahc anakaa mbagala