Ma-TO walipofunikwa na Sylivester Mwageni (True mathematician)

Ma-TO walipofunikwa na Sylivester Mwageni (True mathematician)

Form four ajamaliza Mwaka 2003, na ajapata A ya math o' level.
Form six alimaliza mwaka 2005 na sio 2006, inawezekana alipata point 7 nachokumbuka alikuwa na A moja tu ya math.
Nilisoma Adv kwake VICTORIA ACADEMY akatuambia alimaliza 6 PUGU 2006 akapata 1.7

PHYSICS-B
CHEM-D
MATH-A

Ila olev alituambia alipiga AZANIA div 1.9 akiwa na "A" 5 ikiwemo PHYSICS,CHEM,MATH,AD MATH,BIO....

Ila sana nikimwangalia katika matokeo ya 2003 azania na 2006 pugu simuoni kabisa
 
Form four ajamaliza Mwaka 2003, na ajapata A ya math o' level.
Form six alimaliza mwaka 2005 na sio 2006, inawezekana alipata point 7 nachokumbuka alikuwa na A moja tu ya math.
upload_2017-12-20_11-23-36.png

Nishamdaka aiseee
upload_2017-12-20_11-23-36.png
 
Montserrat.jpg

Huyu Binti ndio anaitwa IMMACULATE MOSHA aliyekuwa wa kwanza FORM 4 ,2009 akifuatiwa na GWAMAKA..Binti alipohojiwa TBC akasema kama GWAMAKA akinipita FORM 6 nitakubali anioe bure kabisa.Matokeo ya 6 yeye na GWAMAKA wote walipata one ya 4 na wote wakaingia TOP 10 ila IMMACULATE wa 5 na GWAMAKA wa 8🙂🙂🙂🙂🙂🙂
Mtoto wa proffesor Mosha (My academic advisor ) nilipokuwa enzi hizo pale sua....
 
Montserrat.jpg

Huyu Binti ndio anaitwa IMMACULATE MOSHA aliyekuwa wa kwanza FORM 4 ,2009 akifuatiwa na GWAMAKA..Binti alipohojiwa TBC akasema kama GWAMAKA akinipita FORM 6 nitakubali anioe bure kabisa.Matokeo ya 6 yeye na GWAMAKA wote walipata one ya 4 na wote wakaingia TOP 10 ila IMMACULATE wa 5 na GWAMAKA wa 8🙂🙂🙂🙂🙂🙂
Kwahio shape hata angempita asingetaka mazoea!
 
Jamani wale wa MZUMBE 2015 kuna dodo alikuwa yuko vizuri sana O-level japokuwa alisoma shule mbovu, anaitwa ERICK KAMBONA kama kuna anaejua maisha yake ya mzumbe na six alitokaje anisaidie kushare
 
Hivi Hawa Ma TO wakienda chuo madarasa yao si wanachanganywa tu Na Vilaza? Vipi Huwa hawapotezi viwango vyao kweli?
 
Back
Top Bottom