theriogenology
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 8,748
- 15,681
Point of correction Mkuu Jamaa alikiwa wa pili mkuu...hao wote,hakuna ktu , benadino mgimba ndo kiboko yako. Kasoma kata then MINAKI shule ya kawaida ila kawa wa tatu kitaifa na bado mlimani kawambiza sana. So huwez kulinganisha na hao waliosoma feza au marian
Huyo dogo alitokea from no where kwa kweli....