Ma-TO walipofunikwa na Sylivester Mwageni (True mathematician)

Ma-TO walipofunikwa na Sylivester Mwageni (True mathematician)

Salute kwake,namjua sana huyu jamaa...Alipokuwa analipoti pugu kila likizo zinapoisha lazima afikie nyumbani Gomz anampitia bro waliokuwa wanasoma nae PUGU wanasepa shule,badae nikasikia jamaa kawa BEST STUDENT.
Siku hiyo naskia pugu walipikiwa wali na nyama [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Mimi nilikuwa Mdau sana Mchikichini.
O'level nilipiga namba kwa Mtata De Mtatuzi, jamaa kanipa A ya namba O'level.

Bado sijaona jamaa anae weza shindana Namba na Mtata De Mtatuzi. Hao akina Mwarami sijui Log boy hawafui dafu kwa jamaa.

Form 4 Class of 2010.
Hatar
Mtata kwa o level labda. .
Ila advnce Mwarami ni hatarii broo
 
Umri wangu umeenda sana...nimeshangaa hii connection na competition ilivyo...naamini MUNGU atanisaidia nipambane na hawa mbalelo wangu( vikondoo/mbuzi wadogo kwa kichaga) angalau kitaifa wawe hata 50 bora..nimejifunza kitu na hongera mtoa thread (naamini ni mdogo kwangu) nafanyia kazi
 
Mtata kwa o level labda. .
Ila advnce Mwarami ni hatarii broo
Man Achana na Mtata kaka, Jamaa hakuwa maarufu ila alikuwa noma.
Mimi sikusoma namba A-level, nilipiga PCB, lkn Kuna Chuma pale Mzumbe alikuwa anapiga kwa Mtata na akamwahidi atamletea A ya Namba, na kweli jamaa akapiga A.

Mwaram nae noma ila kwa Mtata anakaa
 
Shukurani kwa habari za ushindani katika kutafuta elimu.

Pongezi kwa vijana, hususan wanaoweza kufanya vizuri licha ya mazingira magumu.

Zaidi, nasikitika sana kuona kwamba tunaweza kushangilia sana hawa vijana wakati baadaye hawasikiki kufanya lolote la ajabu.

Ni kama mtu anayeshangilia kwamba ana gari kali sana Ferrari, lakini hajui kuendesha wala hana dereva wala hana mpango wa kuliuza au kukodisha.

Matokeo yake anaishia kupanda daladala mkweche.

Ukiangalia viongozi wa nchi hii, hiyo ndiyo habari yetu.
 
10922774_842254492511171_2381431064225870026_n.jpg

Jamali Juma aka BABU
 
Let' s conclude, TO wa mda wote ni Dr. Martin chegele ambaye anahadhiri( UDSM), mshauri wa uchumi mkubwa ajaye.
Tatizo akifika kwa Magumashi aka Mkemia, huyo mshauri TO mwenyewe atageuka mshauriwa.

Ndiyo ujinga wa mifumo yetu.

We unafikiri madudu yote yanayoendelea serikalini hakuna vipanga huko? Wapo.

Ila wote wanaendeshwa kwa "amri kutoka juu".
 
Martin ndo yupi tupe detail zake kidogo
huyu jamaa
alikuwa TO darasa la saba...
TO kidato cha nne...
TO kidato cha sita...
Mtihani wa matriculation UDSM na vilaza wengine tukiudhuria aliongoza...
Mwaka wa mwisho akimaliza shahada ya kwanza Aliongoza chuo kizima.
ni kijana mdogo mwenye PHD.
pamoja na yote huyu mdau ni mnyenyekevu wala hana mbwembwe.
Picha: Mtanzania mwenye umri mdogo ahitimu PhD ya Uchumi nchini Sweden
Martin Chegere ni mmoja wa hazina ya vijana Tanzania
 
upload_2017-12-18_20-59-44.png
upload_2017-12-18_20-52-46.png
upload_2017-12-18_20-52-46.png
upload_2017-12-18_20-59-44.png
Wengi wanamkubali Martin Chegere na wengine wanauliza ni nani huyu

Haya ni matokeo yake ya Olevel MAUA SEMINARY :
upload_2017-12-18_20-52-46.png

AKAWA WA KWANZA KITAIFA

Na haya ni matokeo yake ya Alevel
upload_2017-12-18_20-59-44.png

AKAWA WA KWANZA KITAIFA
 
Back
Top Bottom