Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
inawezekana sababu naskia alikuja pia kuwa mwanafunzi bora udsm ila kwa sasa akili zake zimekuwa kama za kisandulipumba nasikia alikuwa T0
Kawa T O wapi tena??,, I knw gwamaka is my friend we studied for 5 years together,, ila mwisho wa siku hakuna la maana sana,, ni competitions ambazo hazina matunda meema kwa taifa, na zile wanaita special schools, hakuna la maana linaloendelea kule tofauti na walimu ku relax na kuwaacha wanafunzi washindane,, hadi leo cjui lile neno "special", maana yake nini, coz hata mazingira tuliyokuwa tunaishi jumlisha chakula,, hakukuwa na u "special", wowote![]()
GWAMAKA NJOBELO
Hadi huku jamaaa kawapiga BAO(Kawa TO)
Tabia yako ni kama/aina tofauti na Tottenham SPURS, kukalia nafasi za watu...![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Joseverest wa hii thread ni mimi 🙂🙂🙂🙂🙂
Hahahahah, aisee sikumbuki cheti changu chochote chenye somo la hesabu tofauti na alama "F" ukiacha chuo ambapo sikuwahi ku sup hivyo nilichomokamo na alama "C".sie tumesoma miaka iyo 2005, ticha mwenyewe maswali yanamgonga
Wako CCM Mkuu.Japo kua sishabikii matokeo yao lakini tunapoteza vijana wengi wenye uwezo IQ kubwa kuwaongiza kwenye mfumo wetu uliokosa ubunifu. Nilitegemea hao genius wawe wanauwezo wa kubuni sio kukaa ofisoni
Mkuu chuo gani hicho kinahesabu D kama pass ....[emoji4] [emoji4]Hahahahah, aisee sikumbuki cheti changu chochote chenye somo la hesabu tofauti na alama "F" ukiacha chuo ambapo sikuwahi ku sup hivyo nilichomokamo na alama "D".
Zawadi nimesoma nae darasa moja miaka 6 ya shule ya msingi alianzia la pili hakugonga std 1 ila uwezo wake ulikuwa superficial.Zawadi Mdoe alikua kichwa sana. Nahisi anasoma masters sasa hivi maana kamaliza degree ya kwanza udsm akisomea chemical and industrial engineering akipata GPA ya 4.9. Deadboy endelea kutupa hizi stori za best students Kama unazo
Mbona umeenda mbali.nazungumzia form 4.Hahahah me CHUO nilipata Gentlemen