Ma-TO walipofunikwa na Sylivester Mwageni (True mathematician)

Ma-TO walipofunikwa na Sylivester Mwageni (True mathematician)

Man Achana na Mtata kaka, Jamaa hakuwa maarufu ila alikuwa noma.
Mimi sikusoma namba A-level, nilipiga PCB, lkn Kuna Chuma pale Mzumbe alikuwa anapiga kwa Mtata na akamwahidi atamletea A ya Namba, na kweli jamaa akapiga A.

Mwaram nae noma ila kwa Mtata anakaa
Mkuu hebu kuwa serious basi hata KIDOGO,yani huyo Kibabu wako MTATA unamfananisha na MASTER Mwaramy aka MWARAMSHA??????

Angalau Log Man ukimfananisha na MWARAMY Ndio nitaomba KURA ya maoni..
 
kuna fundi mmoja alikua yupo mzumbe remix alikua anaitwa Kwiza jamaa alimalizia mzumbe no alitia 100% na yaliyobaki yote A kwa kifupi PCM alitia 3 mwaka wake jamaa alikufund sana akawa anachukua tele pale udsm ni mda sana ila dogo asa ivi anakula maisha....


wote waliopitia mzumbe remix na mzumbe a level watakua wanamfahamu uyo fundi mpaka kupewa na cheti juu kwenye no
 
Zawadi nimesoma nae darasa moja miaka 6 ya shule ya msingi alianzia la pili hakugonga std 1 ila uwezo wake ulikuwa superficial.

Stream yetu ilikuwa ya vichwa tupu ila toka jamaa alipojoin class 2, rank ya namba moja(1st student) ilikuwa ni kama TAG yake. Kila term anachukua zawadi yeye ndio best student hadi tukazoea sasa kwa miaka yote.

Hivyo kwa miujiza alioifanya mbele ya taifa kwangu mimi sio ajabu sana maana mchizi show ya kupandisha madude shuleni anaiweza mi mwenyewe nilikuwa nyoko ila ule mziki ni CD700 halafu mchizi hana pozi wala nini ye amani tu. Bless up to Zawadi Mdoe!

kumbe ww nawe upo vizur, i hope una div 1 form 4, na form 6 Extrovert
 
andaa data za hawa ma T.O, faith assenga, immaculate mosha na wolfgang seiya, if possible, Maana nlisikia immaculate mosha alijisifu atakuwa tena wa kwanza form 6 lkn alipigwa chali akawa wa 5 kitaifa Deadbody

OLEV 2009 iMMACULTE ALIKUWA WA KWANZA na FAITH akawa wa 7 .
ALEV FAITH akawa wa kwanza na IMMACULATE akawa wa 5
 
nachoweza kusema juu ya sily boy maana niliish nae kibaha boy jamaa alikua mpole sana sana hakuwah kumiss kipindi chochote cha ibada(alikua mromani) ni moja kati ya mafundi wapole sana na kitu kingine sili alikua anatumia mkono wa kushoto ukimwona akifanya mtihan utadhani hatomaliza kwa wakat kwa jinsi ambavyo hapaniki lakin homeboy alikua very smart linapokuja swala na namba mpaka ikafika steji pale kibahaa swali likisumbua utasikia nenda skandia(bweni alilokua akiish) kwa fundiii......


ila jamaa chuo alichagua ardhi..(sikujua kwa nin ila naamin jamaa alikua na malengo flani) mpaka last time naonana nae pale ardhi mwendo ulikua ni ulele wa kuwakimbiza...sijajua tokeo lao nani aliyeongoza overall ila najua kijana angu alituwakilisha vizuri...

long live kibaha boys.....!!!!
Kuna kijana wenu mwingine nimemaliza nae pale sua the same class Dr Julius Luvanga jamaa amepiga banda za kutosha.....

Amevunja rekodi za ma prof wa miaka hiyo nadhani performance yake haijawahi tokea pale kwa kitivo chetu na chuo kwa ujumla.....
 
Martin ndo yupi tupe detail zake kidogo
martin chegere kaongoza darasa la 7 taifa wakati anasoma ukonga.Akachaguliwa kibaha hakwenda,akaenda maua seminary akawa t.o o lev,akaenda pugu advance akawa t.o,akaend udsm bachelor akaongoza,masterz udsm akaongoza,akaenda Phd sweden akaongoza.
karudi ud anafundisha.
 
Back
Top Bottom