Ma-TO walipofunikwa na Sylivester Mwageni (True mathematician)

Ma-TO walipofunikwa na Sylivester Mwageni (True mathematician)

Uje siku moja umjadiri to mwingine moses mwizarubi alikua ilboru ni balaaa

Rafiki yangu huyo Fb huko,aligombea UBUNGE Arusha Mjini kwa REMA kupitia CCM akashindwa.Alikuwa wa kwanza OLEV 2002 ILBORU na AKAWA wapili ALEVEL 2005 PCM ILBORU akipitwa na MDADA ambapo walilingana KILA KITU Isipokuwa JINSIA tu hivyo MOSES akawa wa pili na dada wa KWANZA.

Deadbody
 
Kawa T O wapi tena??,, I knw gwamaka is my friend we studied for 5 years together,, ila mwisho wa siku hakuna la maana sana,, ni competitions ambazo hazina matunda meema kwa taifa, na zile wanaita special schools, hakuna la maana linaloendelea kule tofauti na walimu ku relax na kuwaacha wanafunzi washindane,, hadi leo cjui lile neno "special", maana yake nini, coz hata mazingira tuliyokuwa tunaishi jumlisha chakula,, hakukuwa na u "special", wowote
Wewe ni kijana wa Mirambo moja dormitory?
Nitakuwa nakufahamu bro nilikuwa cube moja na Gwax.
 
Uje siku moja umjadiri to mwingine moses mwizarubi alikua ilboru ni balaaa
upload_2017-12-19_1-7-41.png

Huyu nimuandikie TU maana hakuna nisichokijua KUHUSU MOSSES

Huyu T.O Kasoma UDSM(Bachelor) na UDOM(Masters)

Huyu ndio anaweza akawa anamkaribia CHEGERE kwa mbaliiiii
 
Huyo jamaa alikua mwalimu wangu kibaha alichangia mim kupata one point 7 form 6 jamaa alikua ana timetable hatare anaamka saa 11 asubuhi analala saa 11 joini mpaka 12 joini then baada ya hapo ni mpaka midnight. Jamaa amefundisha wengi sana. Magap ya marks kwenye hesabu Kati yake na mtu wa pili siku zote ni zaidi ya 15. Yé-yé ni mtu wa 90+ ***** ni shida
 
Ila Silvestre hakuwa kujisifu kuwa eti azidiwi na mtu. . Sio mtu wa makuu jamaa ila alimaliza pure zote mbili kila swali. Jamaa yupo form 5 anafundisha form 6

Kuna watu wapo vizuri aiseee
 
Japo kua sishabikii matokeo yao lakini tunapoteza vijana wengi wenye uwezo IQ kubwa kuwaongiza kwenye mfumo wetu uliokosa ubunifu. Nilitegemea hao genius wawe wanauwezo wa kubuni sio kukaa ofisoni
Yani alitakiwa apige mathematics kama degree mpaka PhD angesaidia Sana kudesign new algorithms n mathematical formula now amesoma civil engineering [emoji22][emoji22][emoji35][emoji35][emoji35]
 
Kuna kijana wenu mwingine nimemaliza nae pale sua the same class Dr Julius Luvanga jamaa amepiga banda za kutosha.....

Amevunja rekodi za ma prof wa miaka hiyo nadhani performance yake haijawahi tokea pale kwa kitivo chetu na chuo kwa ujumla.....
You mean sua Jamaa alikua mpole Sana ila chuo na high school ni tofauti Sana how to tackle problems
 
Back
Top Bottom