theriogenology
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 8,748
- 15,681
Point of correction Mkuu Jamaa alikiwa wa pili mkuu...hao wote,hakuna ktu , benadino mgimba ndo kiboko yako. Kasoma kata then MINAKI shule ya kawaida ila kawa wa tatu kitaifa na bado mlimani kawambiza sana. So huwez kulinganisha na hao waliosoma feza au marian
Ngoja nikikaa vizuri nitawasilisha...tupe story kidogo mkuu, it seems that you have something to share with us..
Kupiga gitaa muhimu kaka, mzee wa Physics tulimuacha ase, sijui kwa sasa kama bado yupo au laa maana miaka yake imesonga balaaHahaha Mzee was pond nambie ulikwa unakaa wapi azimio maendeleo hivi babu nzoi yupo?
Babu nilikaa nae dawati moja pale maarifa mwaka 2009 katika zile test za jumamos.jamaa hatar ana speed katika pepa na ana very good handwriting.yan alikua anaomb extra writing pad wakat muuni cjui hata Kama ntafik page NNE .jamaa alienda turkey cjui Kama amerud
Ndio mkuu babu Kiberiti tulimuacha akipigia madogo practical.Kiberiti ulimuacha pande zile?
Yes mzee yuko fiti, aliniachia vitu vya manufaa kichwani ikiwa ni pamoja na kofia yake ya kichwani.Alinipiga sana CHEM 2009 pale
Namjua uyo.Kuna kademu ka Moja pale kilakala kalikuwa kanamuwaza huyu dogo kila kukicha.Bahati mbaya hakukuweza hata kumsogelea
Zawadi Mdoe alikua kichwa sana. Nahisi anasoma masters sasa hivi maana kamaliza degree ya kwanza udsm akisomea chemical and industrial engineering akipata GPA ya 4.9. Deadboy endelea kutupa hizi stori za best students Kama unazo
Wanakuoaga weweHIVI HAWA MAGENIUS WANAPOTELEAGA WAPI?
Hebe tupe walau ABC za huyu Martin Chegere Mkuu.!TO wa muda wote ni Martin Chegere... wengine wote hao chenga tu...