Ma-TO walipofunikwa na Sylivester Mwageni (True mathematician)

Salute kwake,namjua sana huyu jamaa...Alipokuwa analipoti pugu kila likizo zinapoisha lazima afikie nyumbani Gomz anampitia bro waliokuwa wanasoma nae PUGU wanasepa shule,badae nikasikia jamaa kawa BEST STUDENT.
mzee njoo tena uku kijichi tutengeneze perfect tena maana naona wadau wanasepa nazo daily@@@@kijonga
 
Sasa sisi tuliofundishwa Physics na mwalimu kalewa ulanzi anasema mtu aje awashe taa ikiwaka tu anasema 'that's electricity' anamaliza kipindi anasepa tutapata wapi hiyo mijiei.

Au mwalimu wa Math anasolve tango poli pekee yake kimyakimya wee mpaka apate jibu alilomeza kisha ndo anasema andikeni..dah

Ila ngoja niwekeze kwa wanangu maana naamini wana vidudu flani kutoka kwa baba yao ambavyo vinahitaji kunyumbuliwa tu coz wanapata kila hitaji muhimu ambalo mzee hakupata.Huwezi pita Tabora School afu usiwe na vitu flan muhimu damuni..hahah
 
Nlisoma kibaha wakati babu A.K.A Jamali na Sylverster wakiwepoo...!! Babu alikuwa anasomaaaaa sio kawaidaa... dorm huwezi mkuta amelala kitanda chake alimpa dogo awe analala pale Pangani dorm C... Sylverster jamaa alikuwa mashoto yanii mkono mmoja anasolve mwingne anabonya Calculator... Kuna jamaa alikuwa Anaitwa Aude kileo hata hakuwa mkali sanaa na wala alikuwa hasikikii but mwisho wa siku akawa T.O.. ilaa tokaa mwaka 2009 nliongia kibaha mpaka 2016 watu nliowahi kuwakubali ni Vichwa ni..


PASCAL SONGORO
PETER URIO
SYLVESTER
GOODLUCK NYONDO..!
 
We jamaa umesoma miaka mingapi kibaha toka 2009 adi 2016
Afu huyo babu tumeambiwa kasoma feza
Wewe mbona unamuelezea kuwa kasoma kibaha?
 
Wako wapi saiv?
 

2009-2016 Ulikuwa unafundisha au mwanafunzi? mkuu miaka 7 hiyo
 
We jamaa umesoma miaka mingapi kibaha toka 2009 adi 2016
Afu huyo babu tumeambiwa kasoma feza
Wewe mbona unamuelezea kuwa kasoma kibaha?

Jamaa kaja kutuokota hapa Me nimeweka hadi matokeo ya babu juu hapo tena screenshots
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…