Ma-TO walipofunikwa na Sylivester Mwageni (True mathematician)

Ha ha ha nyondo ni [emoji91] mpaka chuo mzee baba
 
So interesting...hawa vijana wako wapi sa hv.. Hope washamaliza vyuo wengine....motivation kubwa sana hii...nimempa salute Silvester
 
Martin darasa la saba alikuwa T.O Ukonga
Huyu ni zaidi ya Genious....si primary...o level advance chuo pia....anyway tena alikuwa TO kwa course ambayo ni ngumu zaido kuwa TO kwa nature yake...EGM. anyway atleast tunaona na achievements zake. Na miaka imekata sana so ma TO wa sasa sijui vizuri wanaishia wapi....but nchi inapoteza sana watu kwa mfumo mbovu...hawa ndio watu wa kusimamia na kujenga sana nchi...tena hawa wangekuwa hata wanabebwa na taasisi nyeti ilimradi wasitumike kisiasa....nakumbuka ma TO wachache wa kuanzia 2001 kupanda juu.....SEBASTIAN ERNEST -MARA......MOSSES MWIZARUBI-ILBORU....MARTIN CHEGERE - PUGU..MAUA......NA WENGINE WENGI TU KIBAHA.....TABORA BOYS.. ZAMANI SHULE RAHA SANA
 
Haya ni matokeo ya TO 2013 ILBORU anaitwa ERASMI ,,,,Hakuna mtu aliyethubutu kupata "B" PHYSICS
 
Kweli nimeamini unawakumbuka wachache sana tangu 2001 mpaka 2017 ata10 hawajafika
 
Huyo peter urio alikuwa pcb ila moto wake haukuwa wa nchi hii ila ndio hivyo akubahatika kuingia top ten
 
Mkuu mtu aliyeacha history mzumbe ni gwamaka bada ya o.level kubeba gamba zote kumi na advance pia hakuacha kwenye comb chochote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…