Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 35,812
- 107,628
Wee jamaa nitupie link ya vituko kwenye chumba cha mtihani ulianzisha wwKumbe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee jamaa nitupie link ya vituko kwenye chumba cha mtihani ulianzisha wwKumbe?
Niwekee nashindwa upataWeka tu
2007 kundete alikuwa anamaliza o lev wakati chegere alikuwa ndo anamaliza 4m 6.tofautiHao waliomaliza form 6 2007 ndo waliopigwa na martin chegere toka darasa la 7 mpaka form six
Sio jambo zuri kupost picha ya mtu bila ruhusa kutoka kwakeHuyu ndo gwamaka kwa sasa ni civil engineer mzuri sana![]()
Haijapostiwa kwa nia mbaya. Sana hiyo picha imemwongezea biashara yaani promotion.
Imuongezee promotion kivipi hapoHaijapostiwa kwa nia mbaya. Sana hiyo picha imemwongezea biashara yaani promotion.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani wateja kwa kupost picha kwenye mitandao bila ruhusa yake na nani kakwambia wateja wanaongezeka kwa kupost lisura la mtu kwani yeye ni andazi au mkate
Post CV zake na vitu vinavohusiana na ivo labda inaleta maana na sio picha
Kilichopostiwa ni taaluma yake. Na hiyo picha ni kuepuka matapeli wasije kujinufsisha kwa kujifanya wao ndio GwamakaYaani wateja kwa kupost picha kwenye mitandao bila ruhusa yake na nani kakwambia wateja wanaongezeka kwa kupost lisura la mtu kwani yeye ni andazi au mkate
Sent using Jamii Forums mobile app
Hoja dhaifu sana hiyo yaani mtu ajifanye gwamaka ili iweje apewe mradi wa ujenzi au iwe vipi?Kilichopostiwa ni taaluma yake. Na hiyo picha ni kuepuka matapeli wasije kujinufsisha kwa kujifanya wao ndio Gwamaka
Sent using Jamii Forums mobile app
Taaluma yake ilitosha sana kumuelezea yeye sasa mambo ya picha hayako vizuri mzeeKilichopostiwa ni taaluma yake. Na hiyo picha ni kuepuka matapeli wasije kujinufsisha kwa kujifanya wao ndio Gwamaka
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwachieni mwenyewe alalamike. Unamlalamika kwa niaba kwani wewe ni wakili wake?Hoja dhaifu sana hiyo yaani mtu ajifanye gwamaka ili iweje apewe mradi wa ujenzi au iwe vipi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwachieni mwenyewe alalamike. Unamlalamika kwa niaba kwani wewe ni wakili wake?Taaluma yake ilitosha sana kumuelezea yeye sasa mambo ya picha hayako vizuri mzee
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio yeye tu yani yeyote utakaepost picha zake humu labda upate ruhusa kutoka kwake mbona wewe hujawahi kupost picha yako humu hata siku mojaMwachieni mwenyewe alalamike. Unamlalamika kwa niaba kwani wewe ni wakili wake?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie mnapo pist picha za watu na kuziweka humu huwa mmeomba ruhusa kwa nani?Sio yeye tu yani yeyote utakaepost picha zake humu labda upate ruhusa kutoka kwake mbona wewe hujawahi kupost picha yako humu hata siku moja
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe pamoja na wao ndo mbadilikeNyie mnapo pist picha za watu na kuziweka humu huwa mmeomba ruhusa kwa nani?
Sent using Jamii Forums mobile app