Ma-TO walipofunikwa na Sylivester Mwageni (True mathematician)

Ma-TO walipofunikwa na Sylivester Mwageni (True mathematician)

Mtoa mada umenikumbusha story za hawa jamaa..! Daah kweli miaka inaenda..! Ni juzi tu hapa nilikuwa nabishana kwenye ligi za nani mkali kati ya zawadi mdoe vs babu..! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
On a serious note nmesikia babu alitongozwa na feza akasomea ualimu (sijui kama kweli)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
57460320b37e2b000bb3d578.jpeg
Huyu ndo gwamaka kwa sasa ni civil engineer mzuri sana
Sio jambo zuri kupost picha ya mtu bila ruhusa kutoka kwake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom