Ma-TO walipofunikwa na Sylivester Mwageni (True mathematician)

Mtoa mada umenikumbusha story za hawa jamaa..! Daah kweli miaka inaenda..! Ni juzi tu hapa nilikuwa nabishana kwenye ligi za nani mkali kati ya zawadi mdoe vs babu..! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
On a serious note nmesikia babu alitongozwa na feza akasomea ualimu (sijui kama kweli)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…