theriogenology
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 8,748
- 15,681
Siku hiyo naskia pugu walipikiwa wali na nyama [emoji2] [emoji2] [emoji2]Salute kwake,namjua sana huyu jamaa...Alipokuwa analipoti pugu kila likizo zinapoisha lazima afikie nyumbani Gomz anampitia bro waliokuwa wanasoma nae PUGU wanasepa shule,badae nikasikia jamaa kawa BEST STUDENT.
Mtata kwa o level labda. .Mimi nilikuwa Mdau sana Mchikichini.
O'level nilipiga namba kwa Mtata De Mtatuzi, jamaa kanipa A ya namba O'level.
Bado sijaona jamaa anae weza shindana Namba na Mtata De Mtatuzi. Hao akina Mwarami sijui Log boy hawafui dafu kwa jamaa.
Form 4 Class of 2010.
Hatar
Man Achana na Mtata kaka, Jamaa hakuwa maarufu ila alikuwa noma.Mtata kwa o level labda. .
Ila advnce Mwarami ni hatarii broo
Martin ndo yupi tupe detail zake kidogoTO wa muda wote ni Martin Chegere... wengine wote hao chenga tu...
Tatizo akifika kwa Magumashi aka Mkemia, huyo mshauri TO mwenyewe atageuka mshauriwa.Let' s conclude, TO wa mda wote ni Dr. Martin chegele ambaye anahadhiri( UDSM), mshauri wa uchumi mkubwa ajaye.
huyu jamaaMartin ndo yupi tupe detail zake kidogo
Bro Huyo ni Dada ake anaitwa Bupe njobelo
GWAMAKA NJOBELO
Hadi huku jamaaa kawapiga BAO(Kawa TO)