Ma-TO walipofunikwa na Sylivester Mwageni (True mathematician)

Hilo la kufundisha watu madarasani nakupinga sana!! Inaonekana unamuhadithia Jamal Juma mwingine kabisa na ninae mjua mimi aliyesoma Form 1&2 ..G na form 3&4 ..D pale Azaboy. Alikuwa talented ila sio kwa masomo yote ...ni masomo baadhi tu ya science kama Physics,Chemistry na Maths..na kiasi Geography. Form 4 alipata 1 ya 10.
 
Nilienda Jangwani kupiga paper enzi hizo natokea zangu JOZIPE, matokeo kutoka naona mwamba Sylvester kapiga 99%. Jamaa alikuwa fundi sanaaaaa
 
Kuna jamaa mmoja alisumbuaga sana pale Tosa Boys enzi hizo badae akaenda Kibaha. Jina lake Mathias Lalika. Natamani sana kujua shughuli yake baada ya kuondoka Tosamaganga.
 
Kuna jamaa mmoja alisumbuaga sana pale Tosa Boys enzi hizo badae akaenda Kibaha. Jina lake Mathias Lalika. Natamani sana kujua shughuli yake baada ya kuondoka Tosamaganga.
Alikuja jiunga CCM ndo tukaacha mfatilia
 
AZA BOYS YA ZAMANI ILIKUWA INACHUKUA WANFUNZI WAZURI KUTOKA PRIMARY YAAN KWENDA O LEVEL MTU UNAEZA UKAWA KIPANGA SHULE ZA GOVERNMENT ila SHULE ZA PRIVATE WANAFUNDISHA VIZURI ZAIDI NA EXTRA MATERIALS KAMA ZOTE NA MUHESHIMU SANA MTU ANAYEFAUlu GOVERNMENT SCHOOL KWA UFAULU MZURI KWASABABU IT SHOW morE OF INTELLIGENCE KULIKO ALIYESOMA YUle YA MILLIONS 5 AU 6 KWA Mwaka KAma FEZA BOYS.
 
Uyo jamaa Sylvester mwageni ni tutorial assistant ardhi university ANASTAHILI Kwa elimu yake ajiendeleze awe prof sasa
😂😂😂ndo huwa wanapoishia wapuuzi wengi ambao ni soma soma. Broke ass niggaz. Wakati wenzao wanajifunza life skills wao walikuwa busy na mavitabu sasa mwisho kuwa walimu with broke asses
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…