Sex addict
JF-Expert Member
- Feb 21, 2023
- 902
- 1,815
Alipiga 1 ya 5 2013 alikuwa wa 2 kitaifa mkuuuuAlifanyaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alipiga 1 ya 5 2013 alikuwa wa 2 kitaifa mkuuuuAlifanyaje?
Yes akapiga Petroleum ud akapiga 4.7Nimekumbuka ,alipata sawa Na TO
Of course mkuuu 💩 ila hakupata kazi after there for 3 akapataga 2021 sijui baada ya kusota kitaa sana tuUnaonekana jamaa alikuwa mashule shule huko UD
Hivi ma T.o wa miaka ya 2017-2022 huwafuatiliagi mkuuu [emoji23][emoji55]Ndio maisha ya kutegemea ajira yalivyo.Watu very talented nao wanateseka kwa kukosa kuchungulia fursa
Tupe mfano wa ambaye mnapambana naeMa TO wengi tunapambana nao huku kitaani dahh..kuweli elimu yetu ya bongo kiboko
Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
TO wa 2015 yupo tuuTupe mfano wa ambaye mnapambana nae
Form 4 au 6TO wa 2015 yupo tuu
Hivi ma T.o wa miaka ya 2017-2022 huwafuatiliagi mkuuu [emoji23][emoji55]
Gpa ya ngapi ?Nina jirani yangu bwana mdogo amekuwa best student wa udsm mwaka 2021.. kama kawaida kaingia zake big 4 auditing firm. A level alikuwa best student wa masomo ya biashara ECA
Hiyo 2m ni mshahara au kianzioNina jirani yangu bwana mdogo amekuwa best student wa udsm mwaka 2021.. kama kawaida ajira kaingia zake big 4 auditing firm anachukua milion 2 zao kila mwezi huku anajifunza kazi. A level alikuwa best student wa masomo ya biashara ECA
Gpa ya ngapi ?
A level mwaka gani?
Ni ke au me
Daah A level kamaliza mwaka gani na shule ganiWa kike anaitwa irene msengi , kapiga GPA 4.7 pale UDBS kwenye B Com Account degree