Ma-TO walipofunikwa na Sylivester Mwageni (True mathematician)

Ma-TO walipofunikwa na Sylivester Mwageni (True mathematician)

Mkishamaliza huu upumbavu wenu wa kuhesabu marks. Mje mtuambie mna hela kiasi gani sasa maana shule mlishamaliza. Wapuuzi wakubwa
New ID hana hata wiki JAMII FORUM.

Tuacha makasiriko jamanii kama hatukusoma ni sisi tusiwakasirikie wenye Akili hata kama hawana Hela ni maisha waliyoamua wenyewe.

Maisha ni kupata na kukosa hamna haja ya kumkasirikia mtu. Mtu akiwa na Hela au asipokuwa nazo haikupunguzii chochote, amini unachokiamini wewe.
 
New ID hana hata wiki JAMII FORUM.

Tuacha makasiriko jamanii kama hatukusoma ni sisi tusiwakasirikie wenye Akili hata kama hawana Hela ni maisha waliyoamua wenyewe.

Maisha ni kupata na kukosa hamna haja ya kumkasirikia mtu. Mtu akiwa na Hela au asipokuwa nazo haikupunguzii chochote, amini unachokiamini wewe.
Kuwa na id mpya haimaanishi huwezi kuutathmini upumbavu. Kama ulikuwa unafaulu darasani na hujawin in life wewe ni mpuuzi. Hawa mlikuwa mnawasifia wasolve maswali magumu na wao wakajiona miamba, instead of focusing on learning other life skills wao kutwa busy na mivitabu ili wapate sifa kwenu. Now wapo huko jalalani. Ujinga mtupu
 
[emoji23][emoji23][emoji23]ndo huwa wanapoishia wapuuzi wengi ambao ni soma soma. Broke ass niggaz. Wakati wenzao wanajifunza life skills wao walikuwa busy na mavitabu sasa mwisho kuwa walimu with broke asses
Form 4 wamepata matokeo ndio wanajiunga JAMII FORUM na hasira za kufeli, Huu ni Uzi kama nyingine usiweke hasira kwenye vitu vya kawaida kama hivi.

Haya wewe una Hela lakini JAMII FORUM umejiunga Juzi tu, Kuna watu Wana Hela lakini wapo kimya tu wanasoma Uzi na kuondoka.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]ndo huwa wanapoishia wapuuzi wengi ambao ni soma soma. Broke ass niggaz. Wakati wenzao wanajifunza life skills wao walikuwa busy na mavitabu sasa mwisho kuwa walimu with broke asses
Kupenda kusoma ni passion kama ilivo kupenda muziki au mpira... usilinganishe pesa na passion ya mtu kama ni utajiri ukiwa nao ww inatosha...

Tuache wivu, kama uwezo wako ulikua mdogo appreciate uwezo wa wengne sio kuleta lonja za hela apa
 
Kuwa na id mpya haimaanishi huwezi kuutathmini upumbavu. Kama ulikuwa unafaulu darasani na hujawin in life wewe ni mpuuzi. Hawa mlikuwa mnawasifia wasolve maswali magumu na wao wakajiona miamba, instead of focusing on learning other life skills wao kutwa busy na mivitabu ili wapate sifa kwenu. Now wapo huko jalalani. Ujinga mtupu
Pesa kuwa nazo ww mkuu... pia punguza wivu
 
Kupenda kusoma ni passion kama ilivo kupenda muziki au mpira... usilinganishe pesa na passion ya mtu kama ni utajiri ukiwa nao ww inatosha...

Tuache wivu, kama uwezo wako ulikua mdogo appreciate uwezo wa wengne sio kuleta lonja za hela apa
Upuuzi mtupu
 
Kupenda kusoma ni passion kama ilivo kupenda muziki au mpira... usilinganishe pesa na passion ya mtu kama ni utajiri ukiwa nao ww inatosha...

Tuache wivu, kama uwezo wako ulikua mdogo appreciate uwezo wa wengne sio kuleta lonja za hela apa
Kweli kabisa
 
Nlisoma kibaha wakati babu A.K.A Jamali na Sylverster wakiwepoo...!! Babu alikuwa anasomaaaaa sio kawaidaa... dorm huwezi mkuta amelala kitanda chake alimpa dogo awe analala pale Pangani dorm C... Sylverster jamaa alikuwa mashoto yanii mkono mmoja anasolve mwingne anabonya Calculator... Kuna jamaa alikuwa Anaitwa Aude kileo hata hakuwa mkali sanaa na wala alikuwa hasikikii but mwisho wa siku akawa T.O.. ilaa tokaa mwaka 2009 nliongia kibaha mpaka 2016 watu nliowahi kuwakubali ni Vichwa ni..


PASCAL SONGORO
PETER URIO
SYLVESTER
GOODLUCK NYONDO..!
Kumbe mzee wa tunda ulipiga kibaha kongole kwako mkuuu
 
😂😂😂ndo huwa wanapoishia wapuuzi wengi ambao ni soma soma. Broke ass niggaz. Wakati wenzao wanajifunza life skills wao walikuwa busy na mavitabu sasa mwisho kuwa walimu with broke asses
😀 😀 😀mkuu mbona unja hasiraa sanaa..
 
Kuna mwamba nae alikuwa anaitwa Pascal Songoroo eehe lile nalo ni balaa aiseee.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]ndo huwa wanapoishia wapuuzi wengi ambao ni soma soma. Broke ass niggaz. Wakati wenzao wanajifunza life skills wao walikuwa busy na mavitabu sasa mwisho kuwa walimu with broke asses

Sijui mmefanya wapi research moaka kuja na hiyo conclusion ,Not all waliosoma ni broke wapo waliotoka na wanapiga mpunga kimya kimya.

Just because wanaokuzunguka wako hivyo i doesnt mean the rest wako hivyo hivyo
 
Back
Top Bottom