"Maadili ya Kitanzania" yameandikwa wapi nikayasome?

"Maadili ya Kitanzania" yameandikwa wapi nikayasome?

Huwa nasikia tu, ati umevunja maadili ya kitanzania, mara sijui jambo hili limekiuka maadili ya kitanzania!

Hata ukikata uno la mayenu unaambiwa umevunja maadili ya kitanganyika!

Ukivaa mabuti kama ya JAY Z unaambiwa umekiuka sijui MILA ZA KITANGANYIKA!

Kuna wale watu wenye fikra za ujima huwa wamekaa chonjo muda wote wanasubiri ufanye jambo tu wakurukie ati umevunja tamaduni za kitanganyika. Ukikohoa kidogo, ooh umevunja utanganyika!

Hayo maadili ya kitanganyika yako wapi tukayasome? Kuna kijarida labda yaliandikwa na nyerere labda?? Au kulikuwa na azimio labda la kukubaliana kwamba mambo kadhaa ndio mila za tanganyika?

Utajuaje kama jambo fulani ni mila ya kitanganyika au ni fikra za mtu tu mwenye ujinga kichwani?

Kwa mfano nikitaka kurejelea hiyo mila ya kitanganyika nikaangalie kitabu gani cha bunge? Hakuna hata pamphlet lenye orodha ya mila za kitanganyika?

Sasa kama hakuna orodha tutajuaje??

Nitafanya ninalolitaka madhali sivunji sheria, sasa ole wake aje mtu aniambie sijui mila ya kitanganyika!

Ukinivaa nitakuvaa.
Hapa kuna hoja na wala usipuuzwe!

Wabunge njooni hapa mtoe ufafanuzi!
 
Huwa nasikia tu, ati umevunja maadili ya kitanzania, mara sijui jambo hili limekiuka maadili ya kitanzania!

Hata ukikata uno la mayenu unaambiwa umevunja maadili ya kitanganyika!

Ukivaa mabuti kama ya JAY Z unaambiwa umekiuka sijui MILA ZA KITANGANYIKA!

Kuna wale watu wenye fikra za ujima huwa wamekaa chonjo muda wote wanasubiri ufanye jambo tu wakurukie ati umevunja tamaduni za kitanganyika. Ukikohoa kidogo, ooh umevunja utanganyika!

Hayo maadili ya kitanganyika yako wapi tukayasome? Kuna kijarida labda yaliandikwa na nyerere labda?? Au kulikuwa na azimio labda la kukubaliana kwamba mambo kadhaa ndio mila za tanganyika?

Utajuaje kama jambo fulani ni mila ya kitanganyika au ni fikra za mtu tu mwenye ujinga kichwani?

Kwa mfano nikitaka kurejelea hiyo mila ya kitanganyika nikaangalie kitabu gani cha bunge? Hakuna hata pamphlet lenye orodha ya mila za kitanganyika?

Sasa kama hakuna orodha tutajuaje??

Nitafanya ninalolitaka madhali sivunji sheria, sasa ole wake aje mtu aniambie sijui mila ya kitanganyika!

Ukinivaa nitakuvaa.
Ukiyapata nitag mkuu
 
Huwa nasikia tu, ati umevunja maadili ya kitanzania, mara sijui jambo hili limekiuka maadili ya kitanzania!

Hata ukikata uno la mayenu unaambiwa umevunja maadili ya kitanganyika!

Ukivaa mabuti kama ya JAY Z unaambiwa umekiuka sijui MILA ZA KITANGANYIKA!

Kuna wale watu wenye fikra za ujima huwa wamekaa chonjo muda wote wanasubiri ufanye jambo tu wakurukie ati umevunja tamaduni za kitanganyika. Ukikohoa kidogo, ooh umevunja utanganyika!

Hayo maadili ya kitanganyika yako wapi tukayasome? Kuna kijarida labda yaliandikwa na nyerere labda?? Au kulikuwa na azimio labda la kukubaliana kwamba mambo kadhaa ndio mila za tanganyika?

Utajuaje kama jambo fulani ni mila ya kitanganyika au ni fikra za mtu tu mwenye ujinga kichwani?

Kwa mfano nikitaka kurejelea hiyo mila ya kitanganyika nikaangalie kitabu gani cha bunge? Hakuna hata pamphlet lenye orodha ya mila za kitanganyika?

Sasa kama hakuna orodha tutajuaje??

Nitafanya ninalolitaka madhali sivunji sheria, sasa ole wake aje mtu aniambie sijui mila ya kitanganyika!

Ukinivaa nitakuvaa.
Maadili yetu yapo mioyoni mwetu hayajaandikwa popote (Un written customs)
 
Afrika tuna maadili yetu ki ujumla ambayo yapo wazi na yametapakaa katika mataifa yote afrika.

Leo hii njo Tanzania, nenda Senegal, Bukinafaso, Zambia, Morocco, Egypt, Kenya Nk. Kote huko Mwanaume kukata viuno sio jambo jema na lipo kinyume na maadili.
Pamoja na maelezo mazuri,hujajibu swali
 
Huwa nashangaa sana hata mimi , Ila kwa nijuavyo namna ya kuishi kama mtanzania Ipo wazi kwenye Katiba ya nchi na sheria mbalimbali za nchi na Bylaws za sehemu mbalimbali. Zaidi ya hapo hakunaga cha maadili wala dada yake maadili, kikubwa usivunje sheria Tu
Safi kabisa
 
Mi niliwahi kualikwa kwa mwanajeshi mmoja kula pilau la idd nikavaa zangu jeans nyembamba sana nikashangaa anaeni mind ni dingi mmoja mstaafu amevaa suruali ina viuno viwili. Yaani kuna kimoja kiko tumboni kina mkanda na kingine kiko chini yake nacho kina mkanda, nikasema dah hata kama ni upedeshee hii hamna. Suruali inakuwaje na sehem 2 za kuweka mkanda, hii nayo si kukosa tu maadili?
 
Afrika tuna maadili yetu ki ujumla ambayo yapo wazi na yametapakaa katika mataifa yote afrika.

Leo hii njo Tanzania, nenda Senegal, Bukinafaso, Zambia, Morocco, Egypt, Kenya Nk. Kote huko Mwanaume kukata viuno sio jambo jema na lipo kinyume na maadili.
Waafrika wamekuwa wanakata viuono kwa karne nyingi sana, huelewei chochote wewe.
 
Back
Top Bottom