"Maadili ya Kitanzania" yameandikwa wapi nikayasome?

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™Œ
 
Yako impliedly; hayaajaandikwa mahali.

Kwa mfano, nyumbani kwako huwa mnakula mkiwa mmekaa; aidha chini ya sakafu au kwenye meza. Kwa hiyo tuseme kwa mfano, si maadili ya kitanzania mtu kula chakula akiwa amesimama

Issue hii ya m-Tanzania kula chakula akiwa amekaa na si kusimama, haihitaji kuandikwa mahali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…